Sheikh Amri Abeid ni nani katika historia ya taifa hili?

Sheikh Amri Abeid Amani Karume

Sheikh Amri Abeid Amani Karume (1905-1972), Tanzanian political leader, became the first president of Zanzibar and vice president of the republic of Tanzania. He was one of Africa's least-known leaders.
Sheikh Abeid Karume was apparently the son of a slave woman from Ruanda-Urundi who moved to Zanzibar when the boy was young. He had little formal education, in 1920 becoming a seaman working cargo boats out of the island. He ultimately rose to quartermaster. A member of the British Seamen's Union, after 1938 he operated a syndicate of motorboats carrying passengers to and from harbor ships.
Karume first entered politics in 1954 when he was appointed town councilor. Later he became president of a social organization for black migrant workers called the Zanzibar African Association. In 1957 this group united with the Shirazi Association to form the pro-British AfroShirazi Party (ASP) with Karume as president. In July 1957, by appealing directly to the African community making up four-fifths of the population, the ASP won four of five seats in the colonial Legislative Council.
In the years before the 1964 revolution, Karume led the ASP in opposition to the ruling Arab coalition which was seemingly intent on maintaining the political economic dominance of the Arab community. Zanzibar Pemba, an area the size of Rhode Island, became independent on Dec. 10, 1963. On Jan. 12, 1964, young ASP militants overthrew the Sultan and established African rule.
Karume was leader of the Revolutionary Council and subsequently became president of the new Zanzibar People's Republic. He was described as a big, slow, even phlegmatic, man who was honest, dependable, and strong-minded to the point of stubbornness. An eloquent Swahili orator, Karume spoke only halting English. He was a devout Moslem and the father of two sons. His role in the revolution was disputed; claims were made that he was a figurehead, even a prisoner of the real leadership which was said to center on Abdulrahma Babu, Kassim Hanga, and Hassan Moyo.
The revolutionary goal was to establish a wholly egalitarian society and, to this end, President Karume proclaimed the Zanzibar Manifesto on March 8. This nationalized and redistributed the land, 80 percent of which was held by the Arab 13 percent of the population.
In April 1964 Karume negotiated a union with mainland Tanganyika under which Zanzibar retained considerable authority in domestic affairs. He became first vice president of the United Republic, renamed Tanzania in October. Speculation was rampant whether Zanzibar was saved from becoming a Communist state or whether Tanganyika would go Communist along with the island.
After the union, despite extensive aid largely from East-bloc countries, Zanzibar's economy stagnated as each partner went its own way domestically. Karume both hailed the union as an example for other African states and raised objection to any further integration.
On April 7, 1972, Karume was assassinated by four gunmen in Dar es Salaam. Two members of the Revolutionary Council were wounded in the attack.

huyu karukia mada hata heading ya thread kaisoma kwa pupa, umetumia nguvu nyingi ukiwa off point! pole mkuu!
 
Huyu jina lake kamili ni Sheikh Kaluta Amri Abedi. Alizaliwa na ni mwenyeji wa Kigoma. Alizaliwa mwaka 1924. Alikuwa ni Mkuu wa Mkoa wa Magharibi ukiunganisha mikoa ya Kigoma, Tabora na Shinyanga wakati wa enzi ya ukoloni. Alikuwa Meya wa kwanza mweusi wakati wa enzi za ukoloni na aliendelea na nafasi hiyo hadi siku Tanganyika ilipopata Uhuru wake hapo mwaka 1964. Baada ya Uhuru, akawa Waziri wa kwanza wa sheria katika serikali huru ya Tanganyika. Baada ya hapo akahamia kwenye wizara ya utamaduni na michezo na akawa waziri katika wizara hiyo hadi mauti yake yalipomfika mwezi wa 7 mwaka 1964.


Yeye ndiye mwandishi wa Sheria za Kutunga Mashairi na Diwani ya Sheikh K. Amri Abedi, kitabu cha kwanza kabisa kufundisha sheria za kutunga mashairi.

Alifia Ujerumani alipokwenda kutibiwa na mazishi yake yalifanyika pale Temeke ambapo viongozi wa kubwa wa bara la Afrika akiwamo Marehemu Rais Jomo Kenyatta wa Kenya walihudhuria mazishi yake. Inaaminika kifo chake kilisabibishwa na kuwekewa sumu kwenye chakula alipokwenda Misri kikazi akiwa na Nyerere pamoja na Kawawa. Hadi leo hakuna uchunguzi wowote uliofanywa na serikali ili kugundua sababu ya kifo chake.
 
Kweli hakuna kuchelewa kusoma ila fursa ya kusoma ndiyo yaweza chelewa.Nimepata bonge la shule leo.
 
msamehe bure HUYU AMECHELEWA KUJUA!!!!!!!!!!!!!!!!!! na inaonesha jinsi watanzania tusuvyokuwa watu wakupenda kujisomea na kudadisi. HUO UWANJA NI KUMBUKIZI YA SHEIKH AMRI ABEID KALUTA

Aksanteni kwa kunielewesha, Tatizo sio kuchelewa kujua, unapomuelimisha mtu huna haja ya kutumia lugha kejeli. Nchi yetu haina Historia moja, Inakuwa bahati mbaya kwa sisi wengine tulio kosa bahati ya kusoma elimu katika nchi tulio zaliwa. Sijawahi asilani kusikia hili jina AMRI ABEID KALUTA.
 
kaluta.jpg
Picha hii ilipigwa Mwanzoni mwa Miaka ya 50 wakati Mtanashati huyu akiwa Masomoni katika Chuo Kikuu cha Rabwah Nchini Pakistan.

Uwanja Maarufu wa Sheikh Amri Abeid kule Arusha umepewa jina lake, ndiye aliyekuwa Meya wa Kwanza Mwafrika katika iliyokuwa Tanganyika (Sasa Tanzania Bara) Alikuwa Meya wa Mji Mzizima sasa Dar es Salaam.
 
Aksanteni kwa kunielewesha, Tatizo sio kuchelewa kujua, unapomuelimisha mtu huna haja ya kutumia lugha kejeli. Nchi yetu haina Historia moja, Inakuwa bahati mbaya kwa sisi wengine tulio kosa bahati ya kusoma elimu katika nchi tulio zaliwa. Sijawahi asilani kusikia hili jina AMRI ABEID KALUTA.

Jiulize Kaluta Street unadhani uliitwa kwa ajili ya nani? Mtaa wa Kaluta ni huu una ambaa ambaa na Ikulu kuelekea WAMA, ni sababu yake huyu Meya wa kwanza Mwafrika DSM
 
Huyu jina lake kamili ni Sheikh Kaluta Amri Abedi. Alizaliwa na ni mwenyeji wa Kigoma. Alizaliwa mwaka 1924. Alikuwa ni Mkuu wa Mkoa wa Magharibi ukiunganisha mikoa ya Kigoma, Tabora na Shinyanga wakati wa enzi ya ukoloni. Alikuwa Meya wa kwanza mweusi wakati wa enzi za ukoloni na aliendelea na nafasi hiyo hadi siku Tanganyika ilipopata Uhuru wake hapo mwaka 1964. Baada ya Uhuru, akawa Waziri wa kwanza wa sheria katika serikali huru ya Tanganyika. Baada ya hapo akahamia kwenye wizara ya utamaduni na michezo na akawa waziri katika wizara hiyo hadi mauti yake yalipomfika mwezi wa 7 mwaka 1964.


Yeye ndiye mwandishi wa Sheria za Kutunga Mashairi na Diwani ya Sheikh K. Amri Abedi, kitabu cha kwanza kabisa kufundisha sheria za kutunga mashairi.

Alifia Ujerumani alipokwenda kutibiwa na mazishi yake yalifanyika pale Temeke ambapo viongozi wa kubwa wa bara la Afrika akiwamo Marehemu Rais Jomo Kenyatta wa Kenya walihudhuria mazishi yake. Inaaminika kifo chake kilisabibishwa na kuwekewa sumu kwenye chakula alipokwenda Misri kikazi akiwa na Nyerere pamoja na Kawawa. Hadi leo hakuna uchunguzi wowote uliofanywa na serikali ili kugundua sababu ya kifo chake.

Asante san kwa darasa hili. Siku nyingi nilikuwa najaribu kupata maelezo kuhusu hili jina hasa ul uwanja wa Arusha kuitwa kwa jina lake. Ila kuna sehemu hapo sijui kama iko sawa , ... uhuru wa Tanganyik mwaka 1964???!!!

Leo nimeongeza kidato kupitia uzi huu.
 
Jiulize Kaluta Street unadhani uliitwa kwa ajili ya nani? Mtaa wa Kaluta ni huu una ambaa ambaa na Ikulu kuelekea WAMA, ni sababu yake huyu Meya wa kwanza Mwafrika DSM
Hata Nairobi Kenya kina mtaa una jina lake uko bussy sana kwa maduka ya simu na electonics na Hardware
 
Kijana hapa ndiyo umechanganya madawa kabisa..... ya hospitali na ya wadudu labda!

Sh. Abedi Amani Karume ni mwengine na Amri Abedi Kaluta ni mwengine. Ama kweli Tanzania hatuna hata historia ya watu kama hawa, tunamsoma Nyerere tu.

Sisi vijana wa zamani tulikuwa tunatumia kitabu cha Amri Abedi cha mashairi katika o level exams in Kiswahili. Pamoja naye vilikuwepo vitabu vya Shaaban Robert (naye utasema humjui)

Vijana hebu chakarikeni angalau musome historia ya nchi yenu siyo kuishia na Nyerere na Kawawa tu.
Mambo ya vijana wa MLUGO hayo kaka!NI wataalamu wa kuchanganya habari kama waziri wao si unakumbuka ile Tanzania ni muungano wa Zimbabwe na Zanzibar
 
UWANJA huu umechukua jina kutoka kwa Rais wa kwanza wa zanzibar. Sheikh Abeid Amani Karume (1905-1972), Tanzanian political leader, became the Zanzibar first president and vice president of the republic of Tanzania. He was one of Africa's least-known leaders.

Siyo kweli! Limepewa jina kwa heshima ya Gwiji wa Kiswahili Sheikh Amri Abeid Kaluta.
 
Huyu jina lake kamili ni Sheikh Kaluta Amri Abedi. Alizaliwa na ni mwenyeji wa Kigoma. Alizaliwa mwaka 1924. Alikuwa ni Mkuu wa Mkoa wa Magharibi ukiunganisha mikoa ya Kigoma, Tabora na Shinyanga wakati wa enzi ya ukoloni. Alikuwa Meya wa kwanza mweusi wakati wa enzi za ukoloni na aliendelea na nafasi hiyo hadi siku Tanganyika ilipopata Uhuru wake hapo mwaka 1964. Baada ya Uhuru, akawa Waziri wa kwanza wa sheria katika serikali huru ya Tanganyika. Baada ya hapo akahamia kwenye wizara ya utamaduni na michezo na akawa waziri katika wizara hiyo hadi mauti yake yalipomfika mwezi wa 7 mwaka 1964.


Yeye ndiye mwandishi wa Sheria za Kutunga Mashairi na Diwani ya Sheikh K. Amri Abedi, kitabu cha kwanza kabisa kufundisha sheria za kutunga mashairi.

Alifia Ujerumani alipokwenda kutibiwa na mazishi yake yalifanyika pale Temeke ambapo viongozi wa kubwa wa bara la Afrika akiwamo Marehemu Rais Jomo Kenyatta wa Kenya walihudhuria mazishi yake. Inaaminika kifo chake kilisabibishwa na kuwekewa sumu kwenye chakula alipokwenda Misri kikazi akiwa na Nyerere pamoja na Kawawa. Hadi leo hakuna uchunguzi wowote uliofanywa na serikali ili kugundua sababu ya kifo chake.

Ahsante!
Wasalimie hapo UJIJI.
 
Hii nchi bwana ukishaaga dunia historia yako pia wanaiweka kapuni! Yaani hata ule uwanja wa mpira hapo Arusha pamoja nakuupa jina la huyu Sheikh Amri Abeid kiwanja kimechoka mpaka hapa wakazi wa Arusha wameukatia jina wanauita uwanja wa Vitunguu kwakua unavichuguu ile mbaya sijui hizi mechi wanazichezaje??

Mzee M Said njoo utupe historia ya kweli tupu kuhusu mzee wetu huyu!
 
Wadau naomba mwenye taarifa kamili za SHEIKH AMRI ABEID anipatie kwani nimejitahidi kufuatilia kwenye vyanzo tofauti nimeshindwa kabisa kupata taarifa zake,nimeuliza wakazi wengi wa Arusha lakini wengi wao hawana taarifa za kueleweka.Ni nani huyu hasa katika historia ya Taifa letu au kwa mkoa wa Arusha mpaka uwanja wa mpira jijini humo kupewa jina lake.TAFADHALI MWENYE TAARIFA AWASILISHE!
tafuta kitabu kiitwacho ALMASI YA AFRIKA,ameandika mtoto wake.
utapata historia nzima ya Kaluta Abeid.
 
Kiukweli nimezaliwa na kukua arusha lakini sijawahi kumjua huyu jamaa alikua nani hahahahahaah.
 
Eti nasikiaga huu uwanja ni wa chama tawala nikashangaa sana, je? Kwa kuwa huyu Sheikh Amri Abeid si ali2mia pesa ya umma ktk ujenzi wake? Kwnn iwe ya chama? Na hata nasikia uwanja wa Kirumba pale Mwanza ni ya chama cha majambazi. Mwenye uwelewa a2juze jamani!
CCM imechukua viwanja vingi sana vya serikali ..
 
Sheikh Amri Abeid alikuwa waziri wa kwanza wa sheria katika serikali ya madaraka ya Tanganyika ya mwaka 1960. Alikuwa member of the Legislative Council [kama Bunge la Tanganyika likiitwa wakati huo] toka Kigoma. Alifariki dunia nafikiri mwaka 1961 au 62. Stadium ya Arusha ilijengwa na Lt. Col. Middleton settler mzungu aliyekuwa akilima maeneo Arusha lakini alikuwa akiishi Arusha. Alikuwa mpenda mpira na mara nyingi alikuwa referee katika mechi zilizokuwa zikichezwa hapo. Hii stadium ilikuwa zawadi yake kwa watu wa Arusha. In fact huu ulikuwa uwanja wa kwanza Tanganyika kuwa na taa za usiku nje ya National stadium ya Dar.

Col. Middleton aliendelea kuishi Arusha mpaka early 1970s - sijui kama alifariki au alirudi kwao Uingereza. Alipofariki Sheikh Abeid - Arusha Town Council [ATC] ikaamua uwanja huo uitwe Sheikh Amri Abeid Stadium. Huyu Shekh Abeid alikuwa na uhusiano wa karibu na madiwani kadhaa wa ATC. Sijui lini CCM iliuchukua uwanja huu lakini sisi wazaliwa na ma al watan wa hapo Arusha tunajua kuwa hii stadium ilitolewa zawadi kwa watu wa Arusha by Col. Middleton. So it should belong tpo Arusha City Council.

I should add mimi ni CCM damu lakini ni mpenda haki.
Aisee leo nimejua hata ile Col.Middleton rd imetokea wapi. Thanks
 
Back
Top Bottom