KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Gari namba T607BCY lenye shehena ya sukari limekamatwa wilayani serengeti mkoani Mara ktk mji wa mugumu likiwa njiani likielekea nchi jiarani ya Kenya.Chini ya ulinzi wa polisi sukari hiyo wanauziwa wananchi kwa kiwango cha kilo tano tu kwa kila mmoja na kwa gharama ya sh 1800 kwa kilo