tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 21,861
- 18,285
Shehe mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja amesikika akisema kwamba, kwa ulaji ule wa Profesa Janabi, ukiwa muislamu mwenye wake wanne unaweza kushindwa kumlisha mkeo "chakula cha chini" na hatimaye ndoa zikavunjika.
Amesema haya akiwa na maana kuwa ukibahatika kuoa mwali machachari anayependa kuona mume akishinda kifuani kwake kwa saa 24, utakosa pumzi ya kumhudumia kisawasawa na matokeo yake ndoa itakata roho mapema sana. Sitaki kusema mengi, hebu msikilize wewe mwenyewe hapa chini.
MAONI YANGU
Namuunga mkono huyu shehe tena nampongeza sana kwa ujasiri wa kuweka hili jambo bayana kwani watu wengine wanazo hoja kama yeye lakini wanaogopa kutoka hadharani na kusema kwa kumuogopa Profesa Janabi. Watu jasiri kama hawa ndio wanatakiwa katika nchi hii ili nchi iapate maendeleo haraka.
Nawasilisha.
Amesema haya akiwa na maana kuwa ukibahatika kuoa mwali machachari anayependa kuona mume akishinda kifuani kwake kwa saa 24, utakosa pumzi ya kumhudumia kisawasawa na matokeo yake ndoa itakata roho mapema sana. Sitaki kusema mengi, hebu msikilize wewe mwenyewe hapa chini.
MAONI YANGU
Namuunga mkono huyu shehe tena nampongeza sana kwa ujasiri wa kuweka hili jambo bayana kwani watu wengine wanazo hoja kama yeye lakini wanaogopa kutoka hadharani na kusema kwa kumuogopa Profesa Janabi. Watu jasiri kama hawa ndio wanatakiwa katika nchi hii ili nchi iapate maendeleo haraka.
Nawasilisha.