Shati kubana mwili namna hii ni sahihi?

Farolito

JF-Expert Member
Sep 10, 2018
11,634
26,373
Wakuu,

Hivi kuvaa shati la kubana kwa kiasi hiki ni fashion sahihi au linapaswa kubana kiasi gani?

Wataalamu wa fasheni mnasemaje Je inapendeza?

Ahsante.
IMG_20230625_205238.jpg
 
As long as mvaaji yupo comfortable hakuna ubaya wowote.

Ila inakuwa shida pale una kitambi mchomoko halafu unatinga shati ya kimodo, hapo lazima uwe kama pishori la mpunga lilojazwa kupita kipimo.

1687716617433.png


Huyo wa kwenye picha anaesoma habari mwili wake unamruhusu kabisa.
 
As long as mvaaji yupo comfortable hakuna ubaya wowote.

Ila inakuwa shida pale una kitambi mchomoko halafu unatinga shati ya kimodo, hapo lazima uwe kama pishori la mpunga lilojazwa kupita kipimo.

View attachment 2668745

Huyo wa kwenye picha anaesoma habari mwili wake unamruhusu kabisa.
,
Kuwa confortable sio issue,mtu anaweza kuchomekea koti la suti na yeye akawa comfortable kabisa ila ki fasheni akawa hayuko sahihi
 
Back
Top Bottom