Sharobaro records na Wasafi.

Jiraniyetu

JF-Expert Member
Sep 22, 2016
350
333
Wadau habari za sunday,kwanza nasikitika sana kumpoteza kwenye ramani ya muziki producer machachari Bob junior kutoka sharobaro records,bob nini kimekukuta?,nini mbaya?,mbona ulikuwa fresh tu kipindi cha miaka kama 3 iliyopita?,

Huyu jamaa ndo alimpa uwanja wa kuonyesha uwezo wake msanii Nguli Diamond platnumz ila bahati mbaya walitofautiana kila mtu akaenda kivyake baada ya kugombania majina(Rais wa wasafi na Rais wa masharobaro wakati huo)..

Nakumbuka alikuwa anakuja na wasanii wapya kila baada ya muda mfupi tu..Binafsi nimemis tachi zako sana..Hata kama haurudi kama msanii jaribu kuja kama producure..Najua Diamond pia atakuwa amemiss zile feeling kama za Kamwambie,mbagala na zingine..

Ni hayo tu,,au nyinyi wadau mnasemaje..Karibuni tumtie moyo Bob Jonior.
 
Haya maisha bwana, jamaa alikuwa anang'ang'ania jina la sharobaro kwamba ni lake kwakuwa lilikuwa juu sana wakati huo, Diamond akamuachia jina akaondoka na muziki wake, the rest is history
 
Swala la kuproduce muzic kunahitaji ubunifu wa kuendana soko la aina ya mziki. Bob junior ajifunze tu kutoka kwa maproducer wakali wanao hit sasa na aina ya beat ili kuendana na soko.
-kuendesha kampuni, biashara, lebo, studio kunahitaji ubunifu zaidi ili kuendana na soko.
 
Wadau habari za sunday,kwanza nasikitika sana kumpoteza kwenye ramani ya muziki producer machachari Bob junior kutoka sharobaro records,bob nini kimekukuta?,nini mbaya?,mbona ulikuwa fresh tu kipindi cha miaka kama 3 iliyopita?,huyu jamaa ndo alimpa uwanja wa kuonyesha uwezo wake msanii Nguli Diamond platnumz ila bahati mbaya walitofautiana kila mtu akaenda kivyake baada ya kugombania majina(Rais wa wasafi na Rais wa masharobaro wakati huo)..nakumbuka alikuwa anakuja na wasanii wapya kila baada ya muda mfupi tu..Binafsi nimemis tachi zako sana..Hata kama haurudi kama msanii jaribu kuja kama producure..Najua Diamond pia atakuwa amemiss zile feeling kama za Kamwambie,mbagala na zingine..Ni hayo tu,,au nyinyi wadau mnasemaje..Karibuni tumtie moyo Bob Jonior.

producure
 
Back
Top Bottom