Steve ni kiongozi wa hao mabongo movie pia ni kuwadi waoNaomb KujuZwa steve Nyerere ni nani katika maswal ya Misiba ya wasanii hapa
TZ....Kwani Kila unapotokea Msiba Yeye Ndiye anathibitisha....!!!!!???
RIP ingawa umeenda kijana na nguvu zako...
Poleni wasanii ni kweli mnawakati mgum kuzipokea hizi hali karibu imekuwa kila wakati,mungu awape faraja awaondolee huzuni,vilio na majonzi
how mkuu?
Ihuna akili kabisaa
lala salama sharo,,,mungu wa majeshi atakufufua siku ya mwisho..ila ningepata faraja sana kama ningejua kama ulipata muda wa kutubu dhambi zako!
Definetly Lowasa is the source na mafisadi wenzake
sasa kama aliiishi maisha ya kipumbavu pumbavu akifikiri muda bado. sasa imeshakuwa mbaya. kifo tunatembea nacho wajameni. RIP MEEN!
kama kumbu kumbu zangu ziko vizuri sharo anakuwa msanii wa tatu kufariki akiwa anafanya kazi karibu na mzee majuto........anyway RIP sharo!