Lala Salama Sharo,,,mungu wa majeshi atakufufua siku ya mwisho..ila ningepata faraja sana kama ningejua kama ulipata muda wa kutubu dhambi zako!
#Kama ni kazi ya ibilisi je!
Si kila anaekufa ai kazi ya MUNGU!
Hata mimi nimezipata za juu juu kama wewe, nijua mwenzetu utakuja na details.