Sharia

According to Jamaa ni kwamba hakuruhusu ila ilikuwa misqoute.... ila good creativity, marketing na promotion ya hawa jamaa ninaikubali....

u know what , I beleive in Science. I also beleive that "religion" is the root cause of most, if not all evil. The worship of something that does'nt, or never exsisited is total foolishness. A waste of ones life huu ustaatabu wa wazungu na waarabu hautufikishi popote..
 
that is corporal punishment, whipping slashing or whatever you call it, and it is applicable in our own country Tanzania!we see it everyday students in schools being whipped and many of them are ADULTS and not children above the age 18! In Tanzania many ordinary Tanzanians start Primary school at the age of 8 to 10 years some even above that, by the time he or she reaches 20 years she is probably in Form 4 or Form 5, and they face the same HUMILIATION and BRUTALITY like the lady in the photo, charity begins at Home!

Umenena vizuri sana.

Na zaidi ya hayo, tunaona vibaka wanavyochomwa moto na au kupondwa mawe mpaka wakafa na kadhalika, pengine kaiba chupi tu, kwa njaa! Nayo ni hapa hapa kwetu Tanzania. Na hao wauwaji wanajulikana na watu wanakaa kimya hawathubutu kuwataja japo kosa lao halikustahili kuuwawa. Au hayo hatuyaoni? Nyani haoni K***u lake!
 
I cant imagine wadada wa Kiislamu watakavyo jiju na wale wakaka wa vibaka wa majina ya Juma ,Said,, Adbalah na wengine siku Sharia ikiingia Bongo, wailete tuu mahakama ya Kadhi jamani .

Nadhani huelewi mahakama ya kadhi. Mahakama ya kadhi haitohusika na kesi za jinai ni kwa ajili ya kadhia zinazohusu, mirathi, ndoa na talaka kwa waIslam.
 
u know what , I beleive in Science. I also beleive that "religion" is the root cause of most, if not all evil. The worship of something that does'nt, or never exsisited is total foolishness. A waste of ones life huu ustaatabu wa wazungu na waarabu hautufikishi popote..

True kabisa nakubaliana na wewe in some degree mimi naona kama dini kweli ita-preach amani na upendo basi I dont care kwamba dini hiyo ni Christianity, Islam, Budhism au upagani....... Tatizo sasa kuna watu wachache wanatumia dini as a means to an end ya issue zao binafsi.

Ndio sababu kuna mtu alisema "Religion is the only thing that can turn good people to become evil"
 
neno la Mungu ni taa na mwangaza katika maisha yetu lituongoze kila tupitapo, amen
 
I cant imagine wadada wa Kiislamu watakavyo jiju na wale wakaka wa vibaka wa majina ya Juma ,Said,, Adbalah na wengine siku Sharia ikiingia Bongo, wailete tuu mahakama ya Kadhi jamani .

Mahkama ya Kadhi inayohitajika Bongo...si sharia yote ifuatwe!
Ukiangalia kwa umakini...matatizo mengi ya Ndoa ya kiislam wengi huzipeleka kwenye hizi mahakama za serikali...ambazo mahakim wake wengi si waislam au hata walio waislam..hawazielewi vzuri. Ni tatizo.
Pili kuhusu Mirathi...wengi waislam kwa uelewa wao kidogo katika hili...baada ya marhum au marhumat...hupeleka shauri mahakamani...kitu ambacho huko...usimamizi wa hukumu zake kidini hua ajabu ajabu.
Sasa kwa kua huko mahakamani wanatumia hizo sharia bila kuingia kwa undani zaidi...ndio imeonekana waingie wataalam wa dini husika hapo.
Hata hivyo tangu ukoloni kwa kulielewa umuhimu hilo ilikuepo.
Ila Mwalim Nyerere katika utawala wake akafuta!
Ajabu ..zanzibar ipo!
Kenya ipo!
Uganda .....nmesahau kama ipo....nisaidiwe!
So sharia ikiingia humu Bongo haiwezi kubagua waislam pekee...itabidi iaply kwa ujumla kitu ambacho sio.
Hata mahkama ya Kadhi ikiendesha wajib wake...bado hutosikia mtu akiiba akatwe mkono wake wa kulia...au mtu akiwa hajaoa kisha akazini...apigwe fimbo mia moja...n.k.
Hivyo ni vzuri kuangalia kwa umakini...jambo hilo muhimu kwa waislam na hizo hukumu muhim.
 
image73.png
Hii ndio adhabu ya Wazinifu, wanapigwa viboko, hawapewi kondom!

 
I think here the issue according to the gentleman who brought the photo is the mode of punishment, even if what she did was wrong islamically is it the right punishment, also in my humble opinion sharia law discriminate and is very heavy on women.... just imagine that lady was your mother being humiliated.

Tukiwa Secondary (miaka15/18) tumechezea sana fimbo, wnawake kwa wanaume .............. mpaka Mwalimu alipewa jina anaitwa Reagan! BTW sheria ya Tanzania inaruhusu Mwanafunzi kupigwa viboko sio zaidi ya sita, pia Mahakama ina adhabu ya viboko. Hivi tufauti ni nini? huo msikiti, au hayo mavazi ya mwanafunzi, au huyo mpigaji au mletaji picha? siku zote mtajikuta hoja zenu hazina mashiko kwa ajili ya dhamira yenu inayowatuma kuleta post kama hizi!
 
Umenena vizuri sana.

Na zaidi ya hayo, tunaona vibaka wanavyochomwa moto na au kupondwa mawe mpaka wakafa na kadhalika, pengine kaiba chupi tu, kwa njaa! Nayo ni hapa hapa kwetu Tanzania. Na hao wauwaji wanajulikana na watu wanakaa kimya hawathubutu kuwataja japo kosa lao halikustahili kuuwawa. Au hayo hatuyaoni? Nyani haoni K***u lake!

Can you rephrase the same in english language!!
 
Nadhani huelewi mahakama ya kadhi. Mahakama ya kadhi haitohusika na kesi za jinai ni kwa ajili ya kadhia zinazohusu, mirathi, ndoa na talaka kwa waIslam.

mkuu nilishawai kukuuliza swali cku za nyuma what governs that problem at a time ujanijibu mpk leo!jibu bc leo.
 
You're just saying because of hearsay or have facts? In all Shariah is harsh regardless of the gender.

Am also of the opinion that sharia law remains more harsh to females than to men: see for instance - unmaried woman gets pregnancy she is stoned to death, do they look for the man who did it?.
 
Mahkama ya Kadhi inayohitajika Bongo...si sharia yote ifuatwe!
Ukiangalia kwa umakini...matatizo mengi ya Ndoa ya kiislam wengi huzipeleka kwenye hizi mahakama za serikali...ambazo mahakim wake wengi si waislam au hata walio waislam..hawazielewi vzuri. Ni tatizo.
Pili kuhusu Mirathi...wengi waislam kwa uelewa wao kidogo katika hili...baada ya marhum au marhumat...hupeleka shauri mahakamani...kitu ambacho huko...usimamizi wa hukumu zake kidini hua ajabu ajabu.
Sasa kwa kua huko mahakamani wanatumia hizo sharia bila kuingia kwa undani zaidi...ndio imeonekana waingie wataalam wa dini husika hapo.
Hata hivyo tangu ukoloni kwa kulielewa umuhimu hilo ilikuepo.
Ila Mwalim Nyerere katika utawala wake akafuta!
Ajabu ..zanzibar ipo!
Kenya ipo!
Uganda .....nmesahau kama ipo....nisaidiwe!
So sharia ikiingia humu Bongo haiwezi kubagua waislam pekee...itabidi iaply kwa ujumla kitu ambacho sio.
Hata mahkama ya Kadhi ikiendesha wajib wake...bado hutosikia mtu akiiba akatwe mkono wake wa kulia...au mtu akiwa hajaoa kisha akazini...apigwe fimbo mia moja...n.k.
Hivyo ni vzuri kuangalia kwa umakini...jambo hilo muhimu kwa waislam na hizo hukumu muhim.



Kwakwlei siijui Mahakama ya Kadhi italeta athari gani kwa taifa haswa ukizingatia Tanzainia ni nchi iliyo na waumini wadini mbali mbali, ,binafsi siipingi, ila kina cho nipa wasiwasi kwanini wengi wanaiogopa ?Nadhani hapo waislamu wengi hamiweki wazi kutuelimisha sisi tusio wa islamu kuhusu Umuhimu wa mahaka hiyo kwa waislamu. inawezekana sisi wengine tume potoshwa, ila kw amtazamo wangu nimeona Kenya hakuna athari zozote wakati hiyo mahakama ipo muda mrefu.

Nawalaumu sana waislamu kwa kuto kua makini kwnye kuelimisha ,wengi wenu mmejaa jazba zaidi, tuelemishieni kuhusu Mahakama hiyo ,pamoja na ughaidi una nafasi gani kwnye usilamu?, wengi tumeuliza hivyo hatupati majibu yalio kamili .
 
Hakuna mtu anaiogopa mahakama ya kadhi kama ni uzuri au ubaya watajua wao.
Tabu ipo pale wanapotaka mimi na wewe na yule tuigharamikie ibada yao wao, hapo ndio mtihani
 
Ikianzishwa hio kadhi courts, mie nitaomba kazi ya kugawa 'hamza hamsan'..kwi kwi kwi.
 
Back
Top Bottom