madai ya shule zenu na mahakama ya kazi yamewashinda au unadhani na sisi tunadai mahakama ya kazi hapa nenda kafuturu huko.What kind of NONSENSE is this? kama kazi imewashinda nendeni mkalime vijijini. Hamkulazimishwa kuwa madaktari.
Ati na wewe ni great thinker? Shame!madai ya shule zenu na mahakama ya kazi yamewashinda au unadhani na sisi tunadai mahakama ya kazi hapa nenda kafuturu huko.
What kind of NONSENSE is this? kama kazi imewashinda nendeni mkalime vijijini. Hamkulazimishwa kuwa madaktari.
Please share this photo, put it as your profile pictures everywhere to show support for the ongoing strike.
Pamoja tutafika![/QUserikali hatuna nchi.imefika pabaya uwt wamesaliti taifa na kufanya kazi isiyo yao ya kulinda maslah ya watu binafsi
Mpumbavu ni adui wa maarifa. jadili.Mkuu umetudharaaaaaaaaaaau sana sisi wakulima eti ehee! basi kila ukienda chooni kuyapa haja masaburi yako uwe unakumbuka kuwa ni sisi wakulima tunao yanyima raha hayo masaburi yako. Unajua nini? Daktari unamwitaji siku unapoumwa tu, tena wengine wenye afya zao wala hawakumbuki ni lini mara ya mwisho walimwona daktari, lakini sisi wakulima unatuhitaji kila siku kuanzia breakfast unapoamka kutoka kitandani hadi supper unarejea kitandani. "Basi kuwa na adabu ujivunze kuheshimu watu"
It's is obvious who is of less intellect here. No doubt.Inaonyesha ulivyokuwa mfinyu wa kufikiria na mbinafsi na inaonyesha jinsi ulivyotumwa kupinga umma na hizo propaganda zilizoshindwa na bado madaktari lazima washinde kwa kudai heshima yao siyo kuwaburuza kama wanyama hawa watu wamesoma miaka mingi kuliko wewe na masomo yao yalikuwa magumu kuliko wewe na ndiyo maan hata kuchaguliwa wanaangalia pass za juu kabisa kuchagua mtu kwenda udaktari hata vyuo vingine vya udaktari bila kuwa na pass za juu huruhusiwi kuomba kusoma huko kwahiyo usitegemee wakawa mambumbu katika kuamua mambo yao, hebu fikiria mtu anamsikiliza binadamu na anampa dawa anapona leo hii unamwambia akalime hiyo inaingia akilini kweli, acheni kwenda kwa waganga wa kienyeji nyie, inaonyesha huna mgonjwa hospitali wewe ndiyo maana unaropoka ovyo jamani jamii forums haipo kusolve frustration zenu za kukosa kazi ni pass zako zilizokufanya ukose kazi wewe siyo madaktari, hiyo nonsense unayowewe ambaye umekuwa frustrated kutokana na maisha kukuendea vibaya na huna pakushikilia jitahidi uende shule uone faida ya kwenda shule, huna shule kabisa wewe na maisha yanakugonga halafu mwoga wa kijiji inaonyesha jinsi ulivyo mvivu wa kulima
It's is obvious who is of less intellect here. No doubt.
No wonder mnapasua watu vichwa badala ya miguu.
FYI, ukitaka kushindana nani amesoma kuliko mwengine, utakimbia mwenyewe na hako ka dr kako uchwara ka kupasua miguu badala ya kichwa.
Mnatambulika dunia nzima ? lol. don't kid urself.ingekuwa hivo tusingewakuta kwene korido za Mwimbili. Hamna atawaajiri huko wanakojali professionalism na maadili ya udaktari, labda muende Somalia na South Sudan, maana naskia hata huko Botswana wameshatrain watu wao, hamuuziki tena na uswahili wenu.Bado unaendeleza umbumbu wako toa hiyo shule yako ambayo unaitetea jiweke hadharani kama hatujakushika na hizo shule zako mbovu kabisa na hizo prpaganda za hao mapaparazi wako wa kichwa miguu wanakuchanganya wewe unasema nikimbie kwa hako kaelimu kako kakubahatisha haaa haaa wewee you do not know our level madk wote ni dunia nzima wapo juu naweza kwenda popote niko acceptable siyo wewe wakufikiria weka profile yako watu waichambue uone aibu
What kind of NONSENSE is this? kama kazi imewashinda nendeni mkalime vijijini. Hamkulazimishwa kuwa madaktari.
Nimesema wapi?Wewe unadhani kila mtu kazaliwa kijijini!!
Kamwambie mkeo akampe huo ujumbe. Milango ya Magogoni iko wazi.Si umwambie Kikwete aende Msoga akalime maana kuendesha nchi kumemshinda.
Anaye lala na mama yako ndilye baba yako.Jadili. Bado unataka nimtume mke wangu magogoni?Nimesema wapi?
Kamwambie mkeo akampe huo ujumbe. Milango ya Magogoni iko wazi.