Albert Msando
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,019
- 171
"kabla ya migogoro haijatatuliwa ni lazima wahusika wakuu waamini kuwa kuna mgogo"
"itiini mamlaka iliyowazidi nguvu, hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu..."
Baada ya wananchi zaidi ya wanne [SIO WATATU] kufariki, zaidi ya 20 kujeruhiwa vibaya, nyumba kuwaka moto kutokana na mabomu ya polisi (wakisingizia zimechomwa!), mtoto wa miaka kumi na nne kupigwa risasi ya kiuno, mama mkwe wa RPC Hemed (alikuwa RCO Morogoro) kupigwa bomu (je na yeye alikuwa anaenda kuvamia kituo cha polisi?) n.k ndio 'wakuu' wanaamini kuna tatizo Arusha!! Wote tunaamini Mungu yupo, na SAUTI ya umma itashinda!
Katika hili jeshi la polisi limekosea SANA! Wao ndio wamevuruga amani ya Arusha na nchi nzima!
"itiini mamlaka iliyowazidi nguvu, hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu..."
Baada ya wananchi zaidi ya wanne [SIO WATATU] kufariki, zaidi ya 20 kujeruhiwa vibaya, nyumba kuwaka moto kutokana na mabomu ya polisi (wakisingizia zimechomwa!), mtoto wa miaka kumi na nne kupigwa risasi ya kiuno, mama mkwe wa RPC Hemed (alikuwa RCO Morogoro) kupigwa bomu (je na yeye alikuwa anaenda kuvamia kituo cha polisi?) n.k ndio 'wakuu' wanaamini kuna tatizo Arusha!! Wote tunaamini Mungu yupo, na SAUTI ya umma itashinda!
Katika hili jeshi la polisi limekosea SANA! Wao ndio wamevuruga amani ya Arusha na nchi nzima!