The Listener
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 993
- 213
hivi nayo hii ni kesi ? maana tangu mwanzo ashahidi wote hawana cha maana cha kusema
Ni suala la ajabu mkuu kwani hata kesi ya kupinga ubunge wa CDM ARUSHA mashahidi walionekana kutokuwa makini lakini umeyasikia matokeo ya hukumu? Kama ulikuwa ukifuatilia sana post za watu ttofuati humu ndani ya forum utagundua kuwa zilikuwepo threads ambazo zilikuwa zikituupdate kuhusu kesi ya Arusha. Mungu na atuepushie mbali kwani wasipoangalia CCM wataliingiza Taifa katika gharama nyingine kubwa huku wakijua fika kwamba mashahidi ni wa kupikwa