MalcolM XII
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,262
- 14,281
Nasemajeee!
Napenda kukuambia ndugu Shaffih Dauda, uchawa umezidisha.. utaacha lini?
Alivyotoka Mbwana Samatta, kimbele mbele kikakuanza. Ukawa hukauki kwenda ubelgiji.
Akatoka bwana mdogo Kelvin John "Mbappe" na wewe kama kawaida yako hujiwezi!
Sasa hivi umeamia kwa Novatus Dismas Miroshi..
Bro kwahiyo Mtanzania akishatoboa soka la ulaya wewe ndo uanze kujifanya unasapoti? Kabla hawajatoboa ulikua wapi?
Sasa hivi Mbwana yuko PAOK kwa kuwa anaelekea ukingoni ndo unajifanya umemkataa!
Najua upo humu Jf japo unamtumia kijana wako kupitia ID fake.
Sisi tunaku-zoom tu, hayo sio maisha!
Napenda kukuambia ndugu Shaffih Dauda, uchawa umezidisha.. utaacha lini?
Alivyotoka Mbwana Samatta, kimbele mbele kikakuanza. Ukawa hukauki kwenda ubelgiji.
Akatoka bwana mdogo Kelvin John "Mbappe" na wewe kama kawaida yako hujiwezi!
Sasa hivi umeamia kwa Novatus Dismas Miroshi..
Bro kwahiyo Mtanzania akishatoboa soka la ulaya wewe ndo uanze kujifanya unasapoti? Kabla hawajatoboa ulikua wapi?
Sasa hivi Mbwana yuko PAOK kwa kuwa anaelekea ukingoni ndo unajifanya umemkataa!
Najua upo humu Jf japo unamtumia kijana wako kupitia ID fake.
Sisi tunaku-zoom tu, hayo sio maisha!