donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,049
- 21,527
Mnatuleta kwenye migahawa ya ghali sana kwa huduma za chakula, au mnataka turudi kwenye Zama za kusafiri huku tumebeba mikate na soda?
Poleni Sana, ni safari za Dodoma -Dar au mkoa gani?Mnatuleta kwenye migahawa ya ghali sana kwa huduma za chakula, au mnataka turudi kwenye Zama za kusafiri huku tumebeba mikate na soda?
Dom-Dar mkuuPoleni Sana, ni safari za Dodoma -Dar au mkoa gani?
Na kama unaona wanawalazimisha kula chips zilizolala na kuku kibudu kwenye hiyo hotel hapo kati si mupande mabasi mengine?
kuna mgahawa mmoja wa ajabu upo pale morogoro msamvu aisee, chakula kichafu, wanauza chakula cha 1500 kwa shs.8000, hata chakula cha mamantilie ni kuzuri afu wana customer care mbovu, ajabu sana. bora hata pale pa zamani.Mnatuleta kwenye migahawa ya ghali sana kwa huduma za chakula, au mnataka turudi kwenye Zama za kusafiri huku tumebeba mikate na soda?
Sawa, nikujuze tu, vyakula vya njiani huwa wengi wanawalisha viporo na ndio maana abiria wengi hukamatwa na matumbo ya kuhara.Dom-Dar mkuu
kuna mgahawa mmoja wa ajabu upo pale morogoro msamvu aisee, chakula kichafu, wanauza chakula cha 1500 kwa shs.8000, hata chakula cha mamantilie ni kuzuri afu wana customer care mbovu, ajabu sana. bora hata pale pa zamani.
Hao ndio wabunge wenu, poleni sana.kuna mgahawa mmoja wa ajabu upo pale morogoro msamvu aisee, chakula kichafu, wanauza chakula cha 1500 kwa shs.8000, hata chakula cha mamantilie ni kuzuri afu wana customer care mbovu, ajabu sana. bora hata pale pa zamani.
Hawezi kusimama kwa mshindani wake wa Biashara.Bora wangesimama pale Cates Hotel, Kwa ile complex sijui inaitwa Dakawa au Msolwa, ina vitu vizuri hata kama bei kubwa.
vyakula vya pale morogoro ni vichafu ukila ukiona haujaugua tumbo shukuru Mungu, space ndogo, na sio mbali na chooni, hivi hata mabwana afya huwa hawapaoni pale?Bora wangesimama pale Cates Hotel, Kwa ile complex sijui inaitwa Dakawa au Msolwa, ina vitu vizuri hata kama bei kubwa.
kuna baadhi ya maeneo kama yale ya korogwe, pako reasonable, hotel safi unakula tu, ila morogoro ukila unaweza kuugua labda uwe na tumbo sugu.Sili njian hata iweje. Ni mahind tu na karanga
Nikifika ndio naingia sehem nakula
wao kama ni madereva, wanakuwa na kamisheni kwanza ya chakula bure na pili ya pesa. sasa mwenye mabasi sijui kama analijua hilo. kiukweli inakera mno mno. unaweza kusafiri na mtoto mimi naweza nisile ila mtoto unatamani umnunulie kitu cha kutafuna hata kama kidogo, shida sasa unaogopa mtoto asije kuugua tumbo. watu wamejazana kama mtaa wa congo, choo haipo mbali, watu wote wanaotoka chooni na mimaji waliyokanyaga kule chooni wanapita na kukanyaga karibu na vyakula, watu wenyewe wa morogoro wanatawadhaga bila kunawa na sabuni hao.Thread 'Madereva wa mikoani, tabia na utaratibu wa kupaki mabasi sehemu ya chakula chenye bei juu mnaumiza abiria wenye kipato kidogo' Madereva wa mikoani, tabia na utaratibu wa kupaki mabasi sehemu ya chakula chenye bei juu mnaumiza abiria wenye kipato kidogo
๐๐๐๐๐๐๐๐๐...
I think ndio wametuleta hapa Leo. Kwa nje si kuna kina mama kibao wanauza ndizi na machungwa? Imebidi ninunue tu ndizi kisukari za buku mbili na maji ya kunywa. Imagine ka robo kuku elfu sita, kuku mwenyewe si kuku sijui njiwakuna mgahawa mmoja wa ajabu upo pale morogoro msamvu aisee, chakula kichafu, wanauza chakula cha 1500 kwa shs.8000, hata chakula cha mamantilie ni kuzuri afu wana customer care mbovu, ajabu sana. bora hata pale pa zamani.