Don Draper
Senior Member
- May 30, 2012
- 176
- 87
Hivi whats the point ya kuwa na wizara ya afya?
Hivi kweli tumekuwa so useless mpaka hakuna anayewajibika?
Hivi mtu kama huyu anaweza kusema kuwa HE IS PROUD TO BE TANZANIAN?
MICHUZI: mkaazi wa bagamoyo adai kuota matiti kwa kutumia arv's
Imeniuma sana.
serikali haina majibu , waziri husika hana majibu, muhimbili haina majibu, wizara ya afya haina maijibu.
Hivi kweli tumekuwa so useless mpaka hakuna anayewajibika?
Hivi mtu kama huyu anaweza kusema kuwa HE IS PROUD TO BE TANZANIAN?
MICHUZI: mkaazi wa bagamoyo adai kuota matiti kwa kutumia arv's
Imeniuma sana.
serikali haina majibu , waziri husika hana majibu, muhimbili haina majibu, wizara ya afya haina maijibu.