Serikali yawadanganya wahisani kuhusu bajeti!

Kwahiyo kila mwaka kuna bajeti za aina tatu,moja ya Wizarani,Bungeni na kwa Wahisani..
Kumbe uchakachuaji una mizizi iliyokomaa ajabu...
 
Walishazoe kuchachua kura sasa na hapa wakadhani Kilavo ndo wa kuwapa ela
 
tatizo wanajifanya wajanja na kuona wananchi ni mazungukuku kumbe wao ndio ma-zerobrains.kweli walitegemea wananchi wasigundue kilichotendeka!!!!
 
Majambazi serikalini yalinidhani wenzao watakakubali takwimu za kuchakachuliwa,bajeti nakala za mwanzo wanazo wamezifanyia kazi leo wanaleta bajeti mpya jamani wanaitia aibu nchi yetu tunaonekana waroho,watu wa kupuuzwa kwa ajiri ya wanafiki serikalini
 
serikali inapata kigugumizi mwaka 2010. Sasa hayo malengo ya 2025 yatafikiwa au usanii? Uchakachuaji kumbe umekua mpaka kwenye bajeti! na mbaya zaidi kwa wanaokingiwa bakuli ili matumizi yawe safi!
 
Our Ignorance and short memories, are what keeps this people in Office......

..... What we need is more unemployed politicians.. Like one wiseman said.. "This are the people, who when they see the light at the end of the Tunnel, They go out and buy another Tunnel"
 
Kama kweli wanataka kutuaminisha kuwa wanaweka maslahi ya taifa mbele..... tuone mkulo na genge la wezi wenzie ama wajiuzuru wenyewe au wawajibishwe na bosi wao(naota tu jamani)

Waziri wa Fedha na Uchumi aachie ngazi/awajibike.

Huyu ndio kipenzi cha JK, kwa sababu yeye haulizi bajeti ya safari za JK ikitoka ikulu au matumizi mabaya ya serikali. Ndio kipenzi cha mafisadi na ndio walitaka arudi tena fedha. Cha ajabu bajeti yake japo ilikua na makosa mengi tu, lakini wabunge waliipitisha bila pingamizi na magazeti yalikua kimpya. Sasa ndio hayooooooooooo.

Magazeti TZ yamebaki kuchafua wanaotufaa na kuwafagilia wabovu wanao kula nao nchi. Huyu ni mmoja ya mawaziri waliorudi kwenye baraza hili la sasa, baraza ambalo baadhi walilisifia kuwa lenye watu makini, waadilifu na wachapa kazi, mpaka nchi za nje waje kutuonyesha...

JK, mpaka wazungu waje kukufundisha kazi, ni aibu tosha. Mkulo must go....though preferably you should go too....
 
Hili li nchi sijui linakoelekea kila kitu hovyo hovyooooooooooooo Dowans, Bajeti, kura uchakachuaji sijui nihamie Iraki nijue moja chuma mtindo mmoja kuliko kujidanganya niko kwenye nchi huru wakati ni usanii tupu.
 
Mapambano I cannot see Mkulo going....mmmh!
Subiri wakayazungumze kama alivyosema mwenyewe

I cannot differ with you Nightangale...maybe he'll do it if he's under pressure from opposition, donors na magazeti huru. Sitoshangaa kama sio JK mwenyewe ndio alio suggest such a move, waache wakazungumze lakini jamaa mambo yakiwa moto kwa kujiokoa atamtosa kama rafiki yake EL...just a thought
 
I cannot differ with you Nightangale...maybe he'll do it if he's under pressure from opposition, donors na magazeti huru. Sitoshangaa kama sio JK mwenyewe ndio alio suggest such a move, waache wakazungumze lakini jamaa mambo yakiwa moto kwa kujiokoa atamtosa kama rafiki yake EL...just a thought
hao unaotegemea mbona hawakufurukuta kipindi cha uchaguzi, si walikuwa mashuhuda wa mchezo mchafu?
tusubiri tuone....ila kwa hili hii serikali nimeivulia kofia. (sijui ndo tuite adendum ya ile bajeti halisi!?)
 
Kama kweli wanataka kutuaminisha kuwa wanaweka maslahi ya taifa mbele..... tuone mkulo na genge la wezi wenzie ama wajiuzuru wenyewe au wawajibishwe na bosi wao(naota tu jamani)[/QUOTE

Hahaaa bora umejisemea unaota! Mimi bado natatizwa na 'matumizi ya kawaida' ya serikali nikilinganisha na fedha zinazotumika ktk shughuli za maendeleo!
7 kwa 3 (trilioni) khaaaa jamani taratibu!
Hata mimi hii inanishangaza sana, lakini ninachoshangaa zaidi ni kuona wahisani wanaendelea kutunisha matumbo ya walafi hawa wakielewa wazi kuwa zaidi ya nusu ya misaada yao inaishia katika matumbo yasiyojaa maisha. Ni aibu. Halafu Waziri wa fedha anadai "mengine njoo ofisini kwangu tuyazungumze". Anataka aende kumchakachua huko.
La kufanya ni kwa wafadhili kutoa misaada yao kwa masharti kuwa misaada hiyo inatumika kwa miradi ya maendeleo tu, sio kwa mishahara ya viongozi,posho, marupurupu na magari ya bei za mbinguni. NI AIBU, NI AIBU, NI AIBU, NI AIBU, NI AIBU, NI AIBU, NI...
Ushauri wa bure kwa Waziri Mkuu na Waziri wa Fedha, ikiwa bado wamebakiwa na haya angalau kidogo WAJIUZULU
 
Like I said before....

"This are the people, who when they see the light at the end of the Tunnel, They go out and buy another Tunnel"

The sad thing ni kwamba they are the ones we have entrusted them with our country
 
MAMMAMIA, Najiuliza hilo la wahisani, si wanafuatilia misaada inavotumika, na pia si huwa wanatoa masharti misaada yao itumikaje?
How comes they tolerate this misuse and abuse of the financial aids?
I will appriciate if someone can put someone can enlighten me on this!
 
Like I said before....

"This are the people, who when they see the light at the end of the Tunnel, They go out and buy another Tunnel"

The sad thing ni kwamba they are the ones we have entrusted them with our country

In other words, we deserve what we are going through
 
Like I said before....

"This are the people, who when they see the light at the end of the Tunnel, They go out and buy another Tunnel"

The sad thing ni kwamba they are the ones we have entrusted them with our country

Dr. Slaa alisema.......kuchagua sisiem ni kuchagua maafa, watu wakabisha. Tutaona na kusikia mengi mno mpaka mioyo yetu itakufa ganzi. Eeee Mungu tusaidie.
 
Back
Top Bottom