Bahati furaha
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 3,030
- 1,384
Mkuu Hii wilaya ya Tanganyika iko wapi? Natamani iwe kwetu
Ipo mkoani Katavi.
Nyingine ni Mpanda
Mlele
Nsimbo(Msimbo)
Mpimbwe(Home kwa PM).
Karibuni wakereketwa(wafurukutwa?) wa Tanganyika.