sithani kama utoaji wa mimba kihalali utapunguza watoto wa mitaani,kuna nchi nyingi tu waruhusu kutoa mimba lakini bado kuna watoto wa mitaani wengi tu .nikupatie mfano Marekani kuna watoto wengi tu wa mitaani lakini wale watoto wanatunzwa kwenye mashiriaka ya dini,kwa hivyo hawaonekani mtaani,hata hivyo bado kuna mitaa ambayo ukienda bado watoto wa mitaani wapo .Angalia Afrika kusini wameruhusu lakini bado watoto wa mitaani wanazidi kuongezeka,bado kuruhusu kutoa mimba hakutaondoa tatizo la watoto wa mitaani ,NAOMBA NIKUPE KAZI MOJA YA KUFANYA UCHUNGUZI KWAMBA WATOTO WA MITAANI WANATOKA WAPI?Kwamfano niliwahi kuwauliza wato fulani mtaani huku bongo ,lakini wengi wao walisema walikua kwenye famillia lakini mmoja alisema baada ya baba yake kufukuzwa kazi hela ya kwenda shuleni illikosekana na akaacha kwenda shule hadi akamua kuanza kuzurura mtaani .wengine walisema baada ya baba na mama kugombana na kkuachana nipo walipoaanza kuzurura mtaa,,wngine walisema babazao walikufa na vitu kama hivyo ,NAWE JARIBU KUTAFUTA MUDA UFANYE UTFITI KIDOGO HALAFU UANGALIE,Maisha yanakua magumu ndio mana unaona watoto wanaongezeka mtaani,kuruhusu kutoa mimba sio jawabu la kupunguza watoto wa mitaani ,PILI KUTOA MIMBA NI KUFANYA MAUAJI KUBALI USIKUBALI UKWELI UNABAKIA PALEPALE ,Ni sawa tu nakusema mtu huyu simtaki kwahivyo unaamua kumuua ,kuna maendeleo lakini sio kuruhusu kutoa mimba ,NASEMA TENA KUTOA MIMBA NI KUFANYA MAUAJI ,UNAMNYIMA MTOTO HAKI YAKE YA KUZALIWA NA KULISHI KAMA WEWE ,TUSIZUNGUMZE TU TUANGALIE UKWELI UKO WAPI?