WembeMkali
JF-Expert Member
- Jun 16, 2007
- 282
- 3
Hatuna waziri mkuu...!!!!!!
Badala ya waziri mkuu wetu kusimamia haki,kukemea maovu, kufichua maozo na kuisafisha serikali yake, yeye ameamua kutoa viapo vya kujitundika ili kuficha maozo.! Huyu mkuu ni mwoga na siyo mpiganaji!!ameona ni heri wananchi wake wafe kwa kukosa huduma muhimu na kudhulumiwa haki na mali zao!!kuliko kupambana na mafisadi .
Kwa kifupi hawa siyo viongozi tuowahitaji wakati huu mgumu tunapopambana na dhuluma kutoka ndani na nje ya nchi.
Sasa kama hawa ndiyo viongozi wetu wa kiafrika ambao wananyuti na kusalimu amri mbele ya mafisadi je wataweza kusimama kidete na kutuongoza kwenye mapambano yetu na ukoloni mambo leo????
Hongera Dr.Slaa kwa ushujaa na uzalendo!!!
Tuko pamoja nawe.
-Wembe.
Badala ya waziri mkuu wetu kusimamia haki,kukemea maovu, kufichua maozo na kuisafisha serikali yake, yeye ameamua kutoa viapo vya kujitundika ili kuficha maozo.! Huyu mkuu ni mwoga na siyo mpiganaji!!ameona ni heri wananchi wake wafe kwa kukosa huduma muhimu na kudhulumiwa haki na mali zao!!kuliko kupambana na mafisadi .
Kwa kifupi hawa siyo viongozi tuowahitaji wakati huu mgumu tunapopambana na dhuluma kutoka ndani na nje ya nchi.
Sasa kama hawa ndiyo viongozi wetu wa kiafrika ambao wananyuti na kusalimu amri mbele ya mafisadi je wataweza kusimama kidete na kutuongoza kwenye mapambano yetu na ukoloni mambo leo????
Hongera Dr.Slaa kwa ushujaa na uzalendo!!!
Tuko pamoja nawe.
-Wembe.