Serikali yabaini viashirio vya ugaidi mikoa ya Morogoro na Dodoma

Simplicity.

JF-Expert Member
Dec 19, 2013
2,636
1,656
Imedaiwa kuwepo kwa vikundi nchini vyenye mrengo wa kigaidi ambavyo vimekuwa vikifanya mazoezi ya kivita katika misikiti kadhaa mikoa ya Dodoma na Morogoro.

Kiongozi mmoja wa serikali akiongea kupitia ITV, amesema kuwa amefuatilia yeye mwenyewe na kuweza kubaini harakati za vikundi hivyo. Vikundi hivyo vya kagaidi mara zote vimekuwa vikidai kuwa vinafanya mazoezi ili kujiandaa na vita ya jihad inayokuja, nia ni kujenga uwezo wa kukabiliana na kuwaua makafiri.

Ukiona dalili za kishenzi kama hizi tafadhali toa taarifa haraka kwenye vyombo vya usalama.
 
hawa wenzetu wana akili fupi sala badala ya kuwaza maendeleo wanawaza jihad kiukweli ni ujinga.
 
Mtu akifanya mazoezi msikitini ndio gaidi? Acheni slamfobia hapa. Mazoezi no sehemu ya ukakamavu.
 
hata huku kilombero vipo na msako unaendelea. lkn tumetangaza watakufa wao

Kwani Kilombero iko Misungwi?
Ndo maana aliposema morogoro anamaanisha huko kilombero maana hakuna sehemu nyingine zaidi morogoro iliyo ripotiwa hizo habaio za kigaidi
 
hili changa la macho kutaka kuwahamisha watu na mijadala ya kuwachambua mafisadi watangaza nia, litaletwa tukio la ajabu ili tu wafunike mijadala ya mafisadi yanayoshika kasi kutaka URAHISI.
 
Haya mambo yalianza zamani tangu awamu ya nne iingie madarakani kwani nchi yenu haina usalama wa taifa mpaka muanze kuomba msaada wa wasamalia wema kutoa taarifa leo? Mlandizi, Ukerewe, Ikwiriri, Mikindani, Kigoma na Kilosa kuna vyuo vya mafunzo yao mbona hamvifungi?
 
Imedaiwa kuwepo kwa vikundi nchini vyenye mrengo wa kigaidi ambavyo vimekuwa vikifanya mazoezi ya kivita katika misikiti kadhaa mikoa ya Dodoma na Morogoro.

Kiongozi mmoja wa serikali akiongea kupitia ITV, amesema kuwa amefuatilia yeye mwenyewe na kuweza kubaini harakati za vikundi hivyo. Vikundi hivyo vya kagaidi mara zote vimekuwa vikidai kuwa vinafanya mazoezi ili kujiandaa na vita ya jihad inayokuja, nia ni kujenga uwezo wa kukabiliana na kuwaua makafiri.

Ukiona dalili za kishenzi kama hizi tafadhali toa taarifa haraka kwenye vyombo vya usalama.

Nlifikiri ARUSHA
 
Back
Top Bottom