Freightliner
JF-Expert Member
- Aug 22, 2013
- 720
- 522
Serikali ya wanafunzi katika chuo kikuu cha Dodoma kitivo cha elimu wamemaliza muda wao kwa wizi wa fedha zaidi ya milioni 8.
Serikali hii iliyoongozwa na bwana John wamezikomba pesa hizo na cha ajabu huyu rais kanunua alteza na anazunguka nayo chuoni na wahusika wamekaa kimya,lakini pia wanafunzi walitozwa pesa za kuchangia serikali hii ya UDOSO mara mbili kwa ubabe wa rais John na watu wake.
Wanafunzi UDOM tuamke
Serikali hii iliyoongozwa na bwana John wamezikomba pesa hizo na cha ajabu huyu rais kanunua alteza na anazunguka nayo chuoni na wahusika wamekaa kimya,lakini pia wanafunzi walitozwa pesa za kuchangia serikali hii ya UDOSO mara mbili kwa ubabe wa rais John na watu wake.
Wanafunzi UDOM tuamke