jurist
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 271
- 497
Anafurahia andiko lako!!Mkuu mbona unaonesha jamaa anacheka sana unamaana gani mkuu
Anafurahia andiko lako!!Mkuu mbona unaonesha jamaa anacheka sana unamaana gani mkuu
Usikate tamaa ndugu. Wote hao wajibu hoja zao. Tatizo nani atashinikiza majibu sahihi yapatikane? Polepole tutaelimika, hongera kwa CAG.Sasa kama 1.5 hazionekani kwenye vyama nako ccm 12b cdm 7b hii inchi tumpe nani sasa mbona shida kila upande
Internationale De chato,
Rwanda Le footballer de internationale sport ground
Aaah hamjui zimejenga hayo juu bila kibali
Kwa sasa mungu yuko na jiwe!
AiseeeeeeeHata bashite azungushiwe ukuta
Duuu ...!Ufisadi umeisha tangu Jiwe lisimame
Ndo ao akina Msukuma waunde tumeIundwe tume ya bunge kama tumme ya Richmond tutagundua tuu na mwizi atawajibishwa kama enzi zile hamna namba
Sijawahi kuona na sioni media yoyote ikijadili yani kama hakuna chochote kilicho tokeakila awamu na ufisadi wake,ila ufisadi huu ni kiboko
Io ya madiwani inawezekana haswaaalabda matumizi yalikuwa kama ifuatavyo
ujenzi chato international airport-500b
ununuzi wa wabunge na madiwani - 500b
mission kill Lisu ,500blabda matumizi yalikuwa kama ifuatavyo
ujenzi chato international airport-500b
ununuzi wa wabunge na madiwani - 500b