Kutokana na watz wengi kutoipia CCM kura kwenye uchaguzi wa 2010, wamebuni mbinu ya kuwakomoa watz kwa kutolipa mishahara ya watumishi wa umma, umeme na bidhaa muhimu kupanda bei mara dufu, kulipua mabomu kwa makusudi na kuendesha nchi kienyeji kwa kukandamiza vyama pinzani.
Mbinu hii hutumiwa sana na wanasiasa walioshindwa kwenye uchaguzi, Savimbi wa Angola yeye aliwakata mikono wanachi ambao hawakumpigia kura.
Tafakari chukua hatua mapema, na wanafurahi sana jinsi tunavyoumia na makali ya kisasi hiki. Hadi 2015 kazi tunayo.
Mbinu hii hutumiwa sana na wanasiasa walioshindwa kwenye uchaguzi, Savimbi wa Angola yeye aliwakata mikono wanachi ambao hawakumpigia kura.
Tafakari chukua hatua mapema, na wanafurahi sana jinsi tunavyoumia na makali ya kisasi hiki. Hadi 2015 kazi tunayo.