palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,455
Nitajikita zaidi na maamuzi ya PM Pinda kuwasimamisha Mganga mKuu wa serikali na Katibu mkuu wa wizara ya afya na ustawi wa jamii, blandina nyoni.
Nanukuu:"
Sababu ya kuwasimamisha watendaji hao ni tuhuma za kuingiza nchini robo tatu ya vifaa bandia vya vipimo vya Ukimwi kutoka Korea Kusini na tuhuma za kuanzisha kampuni ya kusambaza nguo kwa madaktari na kuiingiza kinyemela kampuni ya kufanya usafi ndani ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili"
mwisho wa kunukuu.
Haya yote yalilipotiwa na jf hapa mwishoni mwa mwezi januari yakapuuzwa lakini baada ya ile tume ya bunge kuchunguza imebaini yaleyale yaliyolipotiwa hapa jf.
Mungu awape maisha marefu wanajf.
Nanukuu:"
Sababu ya kuwasimamisha watendaji hao ni tuhuma za kuingiza nchini robo tatu ya vifaa bandia vya vipimo vya Ukimwi kutoka Korea Kusini na tuhuma za kuanzisha kampuni ya kusambaza nguo kwa madaktari na kuiingiza kinyemela kampuni ya kufanya usafi ndani ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili"
mwisho wa kunukuu.
Haya yote yalilipotiwa na jf hapa mwishoni mwa mwezi januari yakapuuzwa lakini baada ya ile tume ya bunge kuchunguza imebaini yaleyale yaliyolipotiwa hapa jf.
Mungu awape maisha marefu wanajf.