thehunk
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 527
- 221
unajua kuna kitu kinaitwa ulanguzi.....ndio vita iliyompelaka kaburini mzee sokoine....na ndio hichi kinachotokea leo ila ambapo nyinyi wananchi wanamsapoti mlanguzi wakati wazazi wetu walimsapoti mzee sokoine .inshort huu ndio uhujumu uchumiHivi kumbe kuna sheria inamlazimisha mtu kuuza bidhaa yake?