Edson Eagle
Member
- Apr 20, 2024
- 29
- 11
Tanzania bado tuna changamoto katika suala zima la elimu ikiwa ni pamoja na mazingira mabovu ya kujifunzia, uchache wa vifaa bora vya kufundishia nakujifunzia, uchache wa shule katika baadhi ya maeneo hususani vijijini.
Katika Tanzania tuitakayo serikali kwa kushirikiana na wananchi tunatakiwa kuhakikisha tunatatua changamoto kama hizo ili kuweka ubora nakupiga hatua katika suala la elimu nakutengeneza wasomi wenye uwezo na ujuzi mkubwa.
Naipongeza Serikali kwa kubadili mitaala ya elimu hiyo ni moja kati ya hatua.
Katika Tanzania tuitakayo serikali kwa kushirikiana na wananchi tunatakiwa kuhakikisha tunatatua changamoto kama hizo ili kuweka ubora nakupiga hatua katika suala la elimu nakutengeneza wasomi wenye uwezo na ujuzi mkubwa.
Naipongeza Serikali kwa kubadili mitaala ya elimu hiyo ni moja kati ya hatua.