Chizi Fureshi
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 1,718
- 457
Ndo kageuka msemaji wa Serikali na Nchi.
Ah wapi wewe wala hujawahi kuwa chadema wewe! Mpambanaji gani anakata tamaa haraka hivo? Unafikiri Chadema ni malaika kwamba hwakosei? wewe gamba tu. Tunachotaka hapa ccm iondoke whether chadema watachukua nchi au chama kingine lakini tumeshaichoka ccm, tunataka mabadiliko!
Wewe tena? Mbona msimamo wako unajulikana wazi!hujawahi kuwa rafiki wa chadema wewe ni petro msaliti chama.