Mess
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 661
- 181
Magari chakavu ya uchafu (ya halmashauri) na UDA yanasababisha ajari nyingi sana barabarani, ukiona magari ya taka kwa wale wanaoishi ukonga wanajua jinsi yale magari ambavyo yameshasabaisha ajari nyingi mbaya kabisa. Mabasi ya UDA ukiyaona ni chakavu sana sana, sasa serikali inatoa mfano gani kwa watu wengine? Na watu wa usalama haya magari huwa