usiambini
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 627
- 558
MaamuZi haya yanafanyaa bila kuzingatia dhana nzima ya kubana matumizi.kwa sasa viongozi wandamizi wa smz watahitaji gharama mara dufu kuifikia serikali yao ya muungano iwapo dodoma.Muungano huu una nguvu zaidi Tanganyika wanaloamua zanzibar haiwezi kuuliza