Dokta Uchwara
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,371
- 3,146
Sijui serikali inasubiri nini, ukizingatia kwamba kampuni inayounda simu za iPhone inamilikiwa na watu wenye utata wa kijinsia.
Na sisi kama Tanganyika tumedhamiria kulinda maadili yetu kwa jasho na damu. Lazima tupinge kweli kweli hadi mishipa ya shingo ipasuke.
Ni unajisi, hatuwezi kuruhusu matumizi ya iphone huku tukijua kuwa waundaji wake wanajihusisha na yale maswala! Kwanini? Turudi posta na kwenye umizimu.
Hatuwezi kukataa nguruwe kisha tukala mchuzi wake!!! Kwani mkemia mkuu wa serekale alisemaje? Kuna vimelea vya ushoga vyenye muundo wa bakteria ambavyo vimeunganishwa na iPhone kupitia pafyumu za mabeberu.
Mimi na wanakijiji wenzangu wa ardhi ya mbambadu tumedhamiria kupambana na kila picha ya upinde tutakayoiona popote hata kwenye gazeti. Tutafoka.
Serikali ya mama samia ihakikishe inafungia simu zote za iphone. Tulinde MILA zetu za kitanganyika.
Na sisi kama Tanganyika tumedhamiria kulinda maadili yetu kwa jasho na damu. Lazima tupinge kweli kweli hadi mishipa ya shingo ipasuke.
Ni unajisi, hatuwezi kuruhusu matumizi ya iphone huku tukijua kuwa waundaji wake wanajihusisha na yale maswala! Kwanini? Turudi posta na kwenye umizimu.
Hatuwezi kukataa nguruwe kisha tukala mchuzi wake!!! Kwani mkemia mkuu wa serekale alisemaje? Kuna vimelea vya ushoga vyenye muundo wa bakteria ambavyo vimeunganishwa na iPhone kupitia pafyumu za mabeberu.
Mimi na wanakijiji wenzangu wa ardhi ya mbambadu tumedhamiria kupambana na kila picha ya upinde tutakayoiona popote hata kwenye gazeti. Tutafoka.
Serikali ya mama samia ihakikishe inafungia simu zote za iphone. Tulinde MILA zetu za kitanganyika.