Serikali itafaidikaje na Takwimu ya udini?

Ulizia "fitna" ya Sudan aliitengeneza nani ! Ili uelimishwe. Hakuna udini pale. Nigeria kuna fitna ya dhulma na si dini. Fitna ya Angola si Savimbi wala dini, ulizia aliye ipanga. Iweje Waarabu maisha yao ni bora kwa mafuta, lakini Wanigeria kuna umaskini wa kupindukia !?
Bado nakuuliza idadi ya watu na dini zao athari yake ni nini !?

About sensa and Islam, is like arguing with stupid people who always think how to brought you down to their levels and defeat you with their experience.
 
Kuna faida nyingi katika hizo "data" ambaye anae zihitaji hizo data ataziomba zikiwa ni official data toka serikalini. Kama kampuni inataka kufungua biashara fulani na ikagundua kuwa wateja husika (majority) inaingiliana na imani zao, ikaacha au ikabadilisha, je hujaona hizo busara? !

serikali ijiandae kutoa vipaumbele kwa kuzingatia dhehebu lenye watu wengi!!!!!
 
Back
Top Bottom