Serikali ipige marufuku matamasha ya fiesta

Badala ya kuhamasisha ubunifu wa vijana wenye na kuwashindanisha kuwaandalia zawadi na kuwapongeza wanaofanya vizuri .

Tumekazana kuwapelekea wacheza nusu uchi na kuhamasisha ngono kuwalazimisha kuimba imooo hata bila kujua maana yake

Ndio maana Trump.anasema tutawaliwe tena maana sijui ni lini tutajikwamua na kuwa na utamaduni wetu na kujitengenezea utaratibu wetu wa maisha kama taifa.
Mkuu una BUSARA sana, Mungu akubariki..

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Unaweza kuwa ni hupendi watu wa staree tu unapoongelea umalaya unafanyika kila siku mitaani napo kuna fiesta , kuvaa nusu uchi ni vile unavyoona tu ni sawa na ufaransa wanavyopiga vita vazi la ijabu , kila jambo na wakati wake wacha vijajana wafanye yao ndiyo wakati wao
 
UPO SAHIHI SANA

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Duh kweli imekuuma. Mimi nimekulia mazingira ya kimaskini sana. Nilivaa kiatu nilipoenda sekondari na penyewe tuligawiwa siyo kamba wazazi wangu walimudu. Nimekulia ambapo akina mama wanajifunga rubega kwenda kuchota maji na watoto kuvaa nguo ilikuwa nadra. Hata sasa hivi wapo wengi ambao hawavai nguo ila mara chache kwenda hospitali. Usituone tunaingia mitandaoni ukafiri wote ni aina yako. Wachache wetu ni watoto wa maskini wa kutupwa wala mlo mmoja tu.
 
*SERIKALI IPIGE MARUFUKU MATAMASHA YA FIESTA NA MATAMASHA MENGINE YOTE YANAYOZIDI KUMOMONYOA MAADILI YA VIJANA WA KITANZANIA KWA KUENEZA, KUHALARISHA NA KURASIMISHA UHUNI NCHINI*

Na Emphraim Makamba

Kwa hakika Muheshimiwa angejua mambo ambayo huwa yanatokea kwenye matamasha ya Fiesta, ninaamini angeomba siku zirudi nyuma ili abadilishe maneno yake aliyoyaongea kwenye mkutano wake na waandishi wa habari ikulu.

SABABU kuu ya mimi kuandika waraka huu ni hofu kubwa inayo niandama baada ya kuona matamasha haya yameachiwa kuendelea kutamalaki nchi nzima kwa kuvuka mipaka ya majiji na sasa kuanza kuzitafuna mpaka halmashauri za miji midogo midogo ya Tanzania. Kwa hakika majiji kama Dar es salaam, Mwanza, Arusha na Mbeya, mambo ya kihuni na ya hovyo hovyo imekuwa sasa ni kama moja ya mambo muhimu katika maisha ya watu wahuni ila sasa ninapoona uhuni huu unapelekwa mpaka vijijini siwezi kuendelea kuwa mnafki na kunyamaza kimya. Ninaomba mnisaidie kupaza sauti yangu iwafikie wale wenye mamlaka waliopo kule juu.

Fiesta ni tamasha kubwa la KIHUNI nchini. Mahali popote ambapo tamasha hili linapokuwa likifanyika ni wazi kabisa mambo mbali mbali ya kihuni huwa yanakuwa yakifanyika sambamba na tamasha hilo kabla, wakati na baada ya tamasha.

NUSU UCHI ndio namna ya kuvaa mavazi kwa dada zetu na binti zetu wakati tamasha hili linapofanyika. UKAHABA na UFUSKA ndio mahala pake na hufanyika wazi wazi katika viwanja hivyo na biashara ya ukahaba na madawa ya kulevya hufanyika kupendezesha matamasha haya. Wasanii wanaoimba MATUSI MATUSI katika nyimbo zao ndio hupata nafasi kubwa ya kusherehesha matamasha haya na husafirishwa kwenda kusambaza UCHAFU huo mpaka mikoa ambayo haina hatia na uchafu wa mijini. Fiesta Rukwa, Tabora, Singida, Lindi, Manyara na mikoa midogo midogo mingi mpaka kufikia hali ya kusikitisha sana. Wasanii kama Snura wa chura, ManFongo wa hainaga ushemeji, Shilore na Kanga moko na wasanii wengine wengi wanaosifika kwa mashairi ya kihuni kihuni na kutumbwiza kwa kucheza nusu uchi ndio hupata nafasi kubwa sana ya kusafiri kwenda kusambaza huu UPUUZI katika mikoa yote midogo midogo nchini.

Mwaka 2005 baada ya Rais wa awamu ya nne ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete kuingia madarakani kwa mara ya kwanza kama mkuu wa nchi, nilipata nafasi ya kukutana na Chief of Staff kwa chakula cha mchana na alitaka kujua nini maoni yangu kuhusu swala la vijana hasa hasa nyanja za utamaduni na maadili. Tuliongea mengi ila nilimwambia kitu kimoja ambacho nilimuomba akichukue kama dira. Nilimwambia kwamba:

*Erick Shigongo* na *Joseph Kusaga* ni vijana wawili nchini wanaotakiwa kudhibitiwa haraka sana kupitia vyombo vyao vya habari vya Global Publishers Limited na Clouds Media Group kabla ya janga kuu la mmomonyoko wa maadili utakaoikumba taifa hili na isipatikane tiba ya haraka kwa muda mrefu. Wote tumeshuhudia namna magazeti ya udaku ya Global publishers yanavyoharibu kwa kasi jamii yetu. Wote tumeshuhudia na tunaendelea kuwa mashahidi wa namna jinsi CLOUDS MEDIA GROUP kupitia vyombo vyake vya habari vya Clouds Fm na Clouds TV vinavyojitahidi kila siku kubomoa kizazi hiki cha vijana wetu wa kitanzania kwa namna mbali mbali mpaka kufikia kuanza kuhamasisha USHOGA kwa kufanya mahojiano na shoga kupitia televisheni hiyo ambayo vijana wengi wanaiangalia na kuipenda. Juhudi na ushauri wangu uligonga mwamba baada ya kuona mkuu ndio kwanza anashikamana na hawa ambao kwangu mimi ninawaita Prime Suspects wa chanzo kikubwa cha kasi ya mmomonyoko wa maadili ya vijana wetu hapa nchini.

Wito wangu kwa serikali ni kwamba, *IT IS NOW OR NEVER* Kama tunataka kuokoa taifa hili la vijana wetu basi tuchukue hatua sasa lasivyo ifafikia mahali tutashindwa kuzuia upuuzi huu kama vile ilivyo kwa mataifa mengi ambayo ni wahanga wa upuuzi huu. Wazazi tutajitahidi kadri ya uwezo wetu kuwatunza na kuwalea vijana wetu katika maadili safi na bora ya kumcha mwenyezi Mungu lakini pia serikali nayo itusaidie kwa maswala ya kiujumla. Tusikubali UHUNI kuwa sehemu ya utamaduni wetu.

_Mungu ibariki Tanzania, Mungu bariki vijana wetu wote nchini._
Kweli kabisa
 
Hayo maadili ya U Tanzania ndio yapoje? Yale ya vanga mdundiko na vigodoro au kigoma cha uluguai?
Ni aibu kwa nchi kutokuwa na utambulisho wa kitamaduni.

Sasa bahati mbaya vijana wa leo mnachojua ni chura anarukaruka ndio maadili yetu.

Ningetamani kama taifa tungeendana na kauli mbiu ya awamu ya tano ya Hapa kazi tu,Tanzania ya viwanda kwa kuwekeza kwenye matamasha yanayoendana na kauli mbiu hiyo tena mgeni rasimu anakuwa kiongozi mkubwa serikalini vijana washindanishe kazi walizofanya ingeleta maana,kuliko ilivyo sasa.

Hapa kazi na Tanzania ya viwanda huku watu wanaimba imooooooo.
Ni aibu kwa taifa.
 
Kwa kifupi matamasha yanaletwa na kushabikiwa na CCM, huo uchafu wao ndani ya chama chao ndio wanataka kuambukiza taifa lichafuke kama wao, shigongo na Luge hao ni mawakala uchwala na njaa zao tu lakini mbaya ni CCM, matamasha na mikutano yote ya CCM huwakosi wasanii wajingajinga kama hao
 
Hilo haliwezekani. Nimeshuhudia mara nyingi viongozi wa serikalj na vyombo vya ulinzi kuwa watalinda fiesta kwa nguvu zote
 
Taifa lisilo na maadili ni Taifa linalojichimbia kaburi la kujiangamiza , hisoria ni mwalimu mzuri sana Sodoma na Gomoro ni kielelezo tosha.... jamii ya wakati ule walihamasishana kufanya vitendo viovu vilivyowaangamiza isipokuwa wachache tu miongoni mwao ndio waliosalimika kwa kuwaonya wenziwao juu ya uovu waliokuwa wakitenda...

Utu wa Mwanadamu unapaswa kutukuzwa na kuenziwa vilivyo ni lazima tudhibiti vitendo vinavyoweza kuhamasisha na kushawishi ngono holela , vile vile kuzuia vitendo vya kihalifu ambavyo huchochewa na mazingira ya kuwepo tamasha hilo ,
 
*SERIKALI IPIGE MARUFUKU MATAMASHA YA FIESTA NA MATAMASHA MENGINE YOTE YANAYOZIDI KUMOMONYOA MAADILI YA VIJANA WA KITANZANIA KWA KUENEZA, KUHALARISHA NA KURASIMISHA UHUNI NCHINI*

Na Emphraim Makamba

Kwa hakika Muheshimiwa angejua mambo ambayo huwa yanatokea kwenye matamasha ya Fiesta, ninaamini angeomba siku zirudi nyuma ili abadilishe maneno yake aliyoyaongea kwenye mkutano wake na waandishi wa habari ikulu.

SABABU kuu ya mimi kuandika waraka huu ni hofu kubwa inayo niandama baada ya kuona matamasha haya yameachiwa kuendelea kutamalaki nchi nzima kwa kuvuka mipaka ya majiji na sasa kuanza kuzitafuna mpaka halmashauri za miji midogo midogo ya Tanzania. Kwa hakika majiji kama Dar es salaam, Mwanza, Arusha na Mbeya, mambo ya kihuni na ya hovyo hovyo imekuwa sasa ni kama moja ya mambo muhimu katika maisha ya watu wahuni ila sasa ninapoona uhuni huu unapelekwa mpaka vijijini siwezi kuendelea kuwa mnafki na kunyamaza kimya. Ninaomba mnisaidie kupaza sauti yangu iwafikie wale wenye mamlaka waliopo kule juu.

Fiesta ni tamasha kubwa la KIHUNI nchini. Mahali popote ambapo tamasha hili linapokuwa likifanyika ni wazi kabisa mambo mbali mbali ya kihuni huwa yanakuwa yakifanyika sambamba na tamasha hilo kabla, wakati na baada ya tamasha.

NUSU UCHI ndio namna ya kuvaa mavazi kwa dada zetu na binti zetu wakati tamasha hili linapofanyika. UKAHABA na UFUSKA ndio mahala pake na hufanyika wazi wazi katika viwanja hivyo na biashara ya ukahaba na madawa ya kulevya hufanyika kupendezesha matamasha haya. Wasanii wanaoimba MATUSI MATUSI katika nyimbo zao ndio hupata nafasi kubwa ya kusherehesha matamasha haya na husafirishwa kwenda kusambaza UCHAFU huo mpaka mikoa ambayo haina hatia na uchafu wa mijini. Fiesta Rukwa, Tabora, Singida, Lindi, Manyara na mikoa midogo midogo mingi mpaka kufikia hali ya kusikitisha sana. Wasanii kama Snura wa chura, ManFongo wa hainaga ushemeji, Shilore na Kanga moko na wasanii wengine wengi wanaosifika kwa mashairi ya kihuni kihuni na kutumbwiza kwa kucheza nusu uchi ndio hupata nafasi kubwa sana ya kusafiri kwenda kusambaza huu UPUUZI katika mikoa yote midogo midogo nchini.

Mwaka 2005 baada ya Rais wa awamu ya nne ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete kuingia madarakani kwa mara ya kwanza kama mkuu wa nchi, nilipata nafasi ya kukutana na Chief of Staff kwa chakula cha mchana na alitaka kujua nini maoni yangu kuhusu swala la vijana hasa hasa nyanja za utamaduni na maadili. Tuliongea mengi ila nilimwambia kitu kimoja ambacho nilimuomba akichukue kama dira. Nilimwambia kwamba:

*Erick Shigongo* na *Joseph Kusaga* ni vijana wawili nchini wanaotakiwa kudhibitiwa haraka sana kupitia vyombo vyao vya habari vya Global Publishers Limited na Clouds Media Group kabla ya janga kuu la mmomonyoko wa maadili utakaoikumba taifa hili na isipatikane tiba ya haraka kwa muda mrefu. Wote tumeshuhudia namna magazeti ya udaku ya Global publishers yanavyoharibu kwa kasi jamii yetu. Wote tumeshuhudia na tunaendelea kuwa mashahidi wa namna jinsi CLOUDS MEDIA GROUP kupitia vyombo vyake vya habari vya Clouds Fm na Clouds TV vinavyojitahidi kila siku kubomoa kizazi hiki cha vijana wetu wa kitanzania kwa namna mbali mbali mpaka kufikia kuanza kuhamasisha USHOGA kwa kufanya mahojiano na shoga kupitia televisheni hiyo ambayo vijana wengi wanaiangalia na kuipenda. Juhudi na ushauri wangu uligonga mwamba baada ya kuona mkuu ndio kwanza anashikamana na hawa ambao kwangu mimi ninawaita Prime Suspects wa chanzo kikubwa cha kasi ya mmomonyoko wa maadili ya vijana wetu hapa nchini.

Wito wangu kwa serikali ni kwamba, *IT IS NOW OR NEVER* Kama tunataka kuokoa taifa hili la vijana wetu basi tuchukue hatua sasa lasivyo ifafikia mahali tutashindwa kuzuia upuuzi huu kama vile ilivyo kwa mataifa mengi ambayo ni wahanga wa upuuzi huu. Wazazi tutajitahidi kadri ya uwezo wetu kuwatunza na kuwalea vijana wetu katika maadili safi na bora ya kumcha mwenyezi Mungu lakini pia serikali nayo itusaidie kwa maswala ya kiujumla. Tusikubali UHUNI kuwa sehemu ya utamaduni wetu.

_Mungu ibariki Tanzania, Mungu bariki vijana wetu wote nchini._
'All work and no play makes Jack a dull boy'
 
Huo ni wivu wa kijinga, na hiki ndo watanzania tu nashindwa kupiga hatua, buni na wewe njia yako ya kukuingizia kipato sio kuingilia shughuli za watu.
Siyo wivu bro bali maadili ndiyo yanaangaliwa wewe utafurahi leo hii kumuona Bi. Mkubwa wako anavaa kimini alafu anakwambia naenda kwenye Fiesta
 
*SERIKALI IPIGE MARUFUKU MATAMASHA YA FIESTA NA MATAMASHA MENGINE YOTE YANAYOZIDI KUMOMONYOA MAADILI YA VIJANA WA KITANZANIA KWA KUENEZA, KUHALARISHA NA KURASIMISHA UHUNI NCHINI*

Na Emphraim Makamba

Kwa hakika Muheshimiwa angejua mambo ambayo huwa yanatokea kwenye matamasha ya Fiesta, ninaamini angeomba siku zirudi nyuma ili abadilishe maneno yake aliyoyaongea kwenye mkutano wake na waandishi wa habari ikulu.

SABABU kuu ya mimi kuandika waraka huu ni hofu kubwa inayo niandama baada ya kuona matamasha haya yameachiwa kuendelea kutamalaki nchi nzima kwa kuvuka mipaka ya majiji na sasa kuanza kuzitafuna mpaka halmashauri za miji midogo midogo ya Tanzania. Kwa hakika majiji kama Dar es salaam, Mwanza, Arusha na Mbeya, mambo ya kihuni na ya hovyo hovyo imekuwa sasa ni kama moja ya mambo muhimu katika maisha ya watu wahuni ila sasa ninapoona uhuni huu unapelekwa mpaka vijijini siwezi kuendelea kuwa mnafki na kunyamaza kimya. Ninaomba mnisaidie kupaza sauti yangu iwafikie wale wenye mamlaka waliopo kule juu.

Fiesta ni tamasha kubwa la KIHUNI nchini. Mahali popote ambapo tamasha hili linapokuwa likifanyika ni wazi kabisa mambo mbali mbali ya kihuni huwa yanakuwa yakifanyika sambamba na tamasha hilo kabla, wakati na baada ya tamasha.
NUSU UCHI ndio namna ya kuvaa mavazi kwa dada zetu na binti zetu wakati tamasha hili linapofanyika. UKAHABA na UFUSKA ndio mahala pake na hufanyika wazi wazi katika viwanja hivyo na biashara ya ukahaba na madawa ya kulevya hufanyika kupendezesha matamasha haya. Wasanii wanaoimba MATUSI MATUSI katika nyimbo zao ndio hupata nafasi kubwa ya kusherehesha matamasha haya na husafirishwa kwenda kusambaza UCHAFU huo mpaka mikoa ambayo haina hatia na uchafu wa mijini. Fiesta Rukwa, Tabora, Singida, Lindi, Manyara na mikoa midogo midogo mingi mpaka kufikia hali ya kusikitisha sana. Wasanii kama Snura wa chura, ManFongo wa hainaga ushemeji, Shilore na Kanga moko na wasanii wengine wengi wanaosifika kwa mashairi ya kihuni kihuni na kutumbwiza kwa kucheza nusu uchi ndio hupata nafasi kubwa sana ya kusafiri kwenda kusambaza huu UPUUZI katika mikoa yote midogo midogo nchini.

Mwaka 2005 baada ya Rais wa awamu ya nne ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete kuingia madarakani kwa mara ya kwanza kama mkuu wa nchi, nilipata nafasi ya kukutana na Chief of Staff kwa chakula cha mchana na alitaka kujua nini maoni yangu kuhusu swala la vijana hasa hasa nyanja za utamaduni na maadili. Tuliongea mengi ila nilimwambia kitu kimoja ambacho nilimuomba akichukue kama dira. Nilimwambia kwamba:

*Erick Shigongo* na *Joseph Kusaga* ni vijana wawili nchini wanaotakiwa kudhibitiwa haraka sana kupitia vyombo vyao vya habari vya Global Publishers Limited na Clouds Media Group kabla ya janga kuu la mmomonyoko wa maadili utakaoikumba taifa hili na isipatikane tiba ya haraka kwa muda mrefu. Wote tumeshuhudia namna magazeti ya udaku ya Global publishers yanavyoharibu kwa kasi jamii yetu. Wote tumeshuhudia na tunaendelea kuwa mashahidi wa namna jinsi CLOUDS MEDIA GROUP kupitia vyombo vyake vya habari vya Clouds Fm na Clouds TV vinavyojitahidi kila siku kubomoa kizazi hiki cha vijana wetu wa kitanzania kwa namna mbali mbali mpaka kufikia kuanza kuhamasisha USHOGA kwa kufanya mahojiano na shoga kupitia televisheni hiyo ambayo vijana wengi wanaiangalia na kuipenda. Juhudi na ushauri wangu uligonga mwamba baada ya kuona mkuu ndio kwanza anashikamana na hawa ambao kwangu mimi ninawaita Prime Suspects wa chanzo kikubwa cha kasi ya mmomonyoko wa maadili ya vijana wetu hapa nchini.

Wito wangu kwa serikali ni kwamba, *IT IS NOW OR NEVER* Kama tunataka kuokoa taifa hili la vijana wetu basi tuchukue hatua sasa lasivyo ifafikia mahali tutashindwa kuzuia upuuzi huu kama vile ilivyo kwa mataifa mengi ambayo ni wahanga wa upuuzi huu. Wazazi tutajitahidi kadri ya uwezo wetu kuwatunza na kuwalea vijana wetu katika maadili safi na bora ya kumcha mwenyezi Mungu lakini pia serikali nayo itusaidie kwa maswala ya kiujumla. Tusikubali UHUNI kuwa sehemu ya utamaduni wetu.

_Mungu ibariki Tanzania, Mungu bariki vijana wetu wote nchini._

***HONGERA JOSEPH KWA KUONA MMOMONYOKO MKUBWA WA MAADILI UNAOFANYWA KWA MAKUSUDI NA KWA JUHUDI KUBWA NA WAHUSIKA ULIOWATAJA. NI WATU WACHACHE SANA WANAWEZA KUWA NA UPEO KAMA WAKO KWANI ZAMA HIZI NI ZAMA ZA UPOFU, BAYA NDIO ZURI, BATILI NDIO HAKI, WIZI NDIO UJANJA NA KADHALIKA.
NI VYEMA WIZARA HUSIKA, BASATA NA VYOMBO VYA USALAMA VIKACHUKUA HATUA STAHIKI SASA.
 
Taifa lisilo na maadili ni Taifa linalojichimbia kaburi la kujiangamiza , hisoria ni mwalimu mzuri sana Sodoma na Gomoro ni kielelezo tosha.... jamii ya wakati ule walihamasishana kufanya vitendo viovu vilivyowaangamiza isipokuwa wachache tu miongoni mwao ndio waliosalimika kwa kuwaonya wenziwao juu ya uovu waliokuwa wakitenda...

Utu wa Mwanadamu unapaswa kutukuzwa na kuenziwa vilivyo ni lazima tudhibiti vitendo vinavyoweza kuhamasisha na kushawishi ngono holela , vile vile kuzuia vitendo vya kihalifu ambavyo huchochewa na mazingira ya kuwepo tamasha hilo ,
Kaka nadhani umeongea VEMA sana...

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Ni aibu kwa nchi kutokuwa na utambulisho wa kitamaduni.

Sasa bahati mbaya vijana wa leo mnachojua ni chura anarukaruka ndio maadili yetu.

Ningetamani kama taifa tungeendana na kauli mbiu ya awamu ya tano ya Hapa kazi tu,Tanzania ya viwanda kwa kuwekeza kwenye matamasha yanayoendana na kauli mbiu hiyo tena mgeni rasimu anakuwa kiongozi mkubwa serikalini vijana washindanishe kazi walizofanya ingeleta maana,kuliko ilivyo sasa.

Hapa kazi na Tanzania ya viwanda huku watu wanaimba imooooooo.
Ni aibu kwa taifa.
Asante kwa maoni yako mazuri MKUU...

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Fiesta yenyewe ipo.mala moja tuu kwa mwaka,

Ukitala kuzuia kisa kusema.maadili unakiwa huwajui vjana na.wapi maadili.huanzia kualibika fiesta unaionea au una.wivu nayo tuu


Mashulen
Hasa shule za kata na.shule za pri vBulletin ate za mixture za day...mambo yanayo endelea huko sijui km ungeanza na fiesta

Mitaan kwetu
Wazazi wasasa wenyewe wa .dom

Mkuu inabd tujefunze kuishi kutokana.na mazingira,miaka hii sio kama miaka ile....vitu.kibao vipo open


Fiesta haialibu maadili.ya watoto but yapaswa watt wafundishwe kupambana na.hali ya mazingira

Kuvaa nusu uchi wakat wa tamasha,haimaanishi kwamba huyo hana.maadili mema ukimfananisha.na yule alihome au church kavaa sket ndefu

Hao unaowaona.wenye maadili ,ukiwachunguza waweza data

Wape elimu vjana wajitambue,huwez wazuia kwa sasa
 
Back
Top Bottom