Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
Mkuu naona hoja ya mleta mada ni sahihi...inatakiwa iundwe tume ya kijasusi ichunguze haya matamasha walete evidence ya videos na audios ya kinachofanyika humo..
Pia whatever the case,kwa walio na watoto teenagers hasa wa kike,aisee haya matamasha na media za Shigongo na Clouds hazifai kabisa....kwa wote wenye watoto,kwa uchungu uliopo wa malezi haya matamasha na hizi media ni za kufuta kabisa...
Zimeharibu akili za watoto 100%,kila mtoto anaabudu hawa watu na haya matamasha,hii ni hatari,mind control ni kubwa
Clouds ni tawi la ccm. Usitegemee kiongozi yoyote akosoe utendaji kazi wao.