Serikali funga kampuni ya tigo

Ishaka

Member
Nov 1, 2011
74
12
Kinachoendelea sasa hivi katika kampuni ya tiGO in ubabaishaji mtupu uliosheheni wizi na dhuruma kwa wateja kwa zaidi ya miezi miwili sasa! Hivi hawa tiGO mikataba yao ya uwekezaji hapa nchini inasemaje mbona watanzania tunafanyiwa vituko kama vile nchi haina serikali?!

TiGO wamechoka mbaya nahisi wanaweza kutimka wakati wowote wakaiacha serikali solemba kama ilivyotokea kwa Meridian Beao Bank miaka ya nyuma.

Kama mitambo ya mtandao wa tiGO ni mibovu isiyotengenezeka na hawana uwezo wa kununua mipya basi ni vema wafunge virago watanzania tumechoshwa kuibiwa na kunyimwa huduma tulizozitarajia.

Fikiria hata kuongeza muda wa maongezi inakuwa taabu, watu kupiga simu hamsikilizani lakini pesa inakwenda, ukiweka sh. 2,000 ukatuma meseji 14 tu salio limekwisha, ukiongeza salio kutumia tiGO Pesa yaani ujue umekwisha! na usilogwe ukawakopa unapoishiwa salio maana wataendelea kukukata pesa yako kila unapoweka bila wewe kujua.

Halafu wanakela na mi-message yao ya kijinga ya promotion na upatu kila wakati mchana na usiku wa manane. Naomba mamlaka zinazohusika kuifungia mara moja hii kampuni kimeo ya tiGO.

Naomba kuwakilisha.
 
Acha ukenge wewe hii ni free market mtandao haupo m1 hapa tz,kama tiGO wanakuboa unaweza sepa tu,sasa serikali wakifunga hao wafanyakazi utawalipa wewe? Unajua cost za ku-run sites wewe au kujenga mnara m1?

Unajua vitu vinavyaffect networks hasa hz za MW? Acha umasabauri wewe,mitandao hapa tz hipo kama nane unaweza ukasepa tu,yani kupata msg moja tu unalalamika, mtu mwenyewe unaweka jero baada ya wiki,ndio maana hata ikipotea sh10 unalalamika fanya kazi wewe uongeze kipato chako!
 
hamia sasatel kama unataka mtelemko mtandao unaoishia kimara na hauna wateja wengi huko utapeta tuu tuachie na mtandao wetu tumeridhika mi nautumia tangu enzi za mobitel hadi leo tigo then unaleta udaku hapa
 
Kinachoendelea sasa hivi katika kampuni ya tiGO in ubabaishaji mtupu uliosheheni wizi na dhuruma kwa wateja kwa zaidi ya miezi miwili sasa! Hivi hawa tiGO mikataba yao ya uwekezaji hapa nchini inasemaje mbona watanzania tunafanyiwa vituko kama vile nchi haina serikali?!

TiGO wamechoka mbaya nahisi wanaweza kutimka wakati wowote wakaiacha serikali solemba kama ilivyotokea kwa Meridian Beao Bank miaka ya nyuma.

Kama mitambo ya mtandao wa tiGO ni mibovu isiyotengenezeka na hawana uwezo wa kununua mipya basi ni vema wafunge virago watanzania tumechoshwa kuibiwa na kunyimwa huduma tulizozitarajia.

Fikiria hata kuongeza muda wa maongezi inakuwa taabu, watu kupiga simu hamsikilizani lakini pesa inakwenda, ukiweka sh. 2,000 ukatuma meseji 14 tu salio limekwisha, ukiongeza salio kutumia tiGO Pesa yaani ujue umekwisha! na usilogwe ukawakopa unapoishiwa salio maana wataendelea kukukata pesa yako kila unapoweka bila wewe kujua.

Halafu wanakela na mi-message yao ya kijinga ya promotion na upatu kila wakati mchana na usiku wa manane. Naomba mamlaka zinazohusika kuifungia mara moja hii kampuni kimeo ya tiGO.

Naomba kuwakilisha.

Waliokutuma wamekupa pesa kiasi gani??
 
Msimbeze mtoa mada, kuna uwezekano mkubwa hii kampuni imeshauzwa, baadhi ya ofisi zao zimeshahamishwa na minara yao wameshaiuzia kampuni kutoka nje inayoitwa HTT Infranco limited. Si mnaona jinsi walivyo na dharau kwa wateja wao, sababu wanajua hawana watakachopoteza.
 
Kinachoendelea sasa hivi katika kampuni ya tiGO in ubabaishaji mtupu uliosheheni wizi na dhuruma kwa wateja kwa zaidi ya miezi miwili sasa! Hivi hawa tiGO mikataba yao ya uwekezaji hapa nchini inasemaje mbona watanzania tunafanyiwa vituko kama vile nchi haina serikali?!

TiGO wamechoka mbaya nahisi wanaweza kutimka wakati wowote wakaiacha serikali solemba kama ilivyotokea kwa Meridian Beao Bank miaka ya nyuma.

Kama mitambo ya mtandao wa tiGO ni mibovu isiyotengenezeka na hawana uwezo wa kununua mipya basi ni vema wafunge virago watanzania tumechoshwa kuibiwa na kunyimwa huduma tulizozitarajia.

Fikiria hata kuongeza muda wa maongezi inakuwa taabu, watu kupiga simu hamsikilizani lakini pesa inakwenda, ukiweka sh. 2,000 ukatuma meseji 14 tu salio limekwisha, ukiongeza salio kutumia tiGO Pesa yaani ujue umekwisha! na usilogwe ukawakopa unapoishiwa salio maana wataendelea kukukata pesa yako kila unapoweka bila wewe kujua.

Halafu wanakela na mi-message yao ya kijinga ya promotion na upatu kila wakati mchana na usiku wa manane. Naomba mamlaka zinazohusika kuifungia mara moja hii kampuni kimeo ya tiGO.

Naomba kuwakilisha.

Hamia Airtel
 
kweli watanzania hawasaidiki hata ukiwapa ushauri gani wao ni kukaidi tu. Nadhani mtoa mada anataka kampuni iboreshe huduma lakini jinsi alivyoshambuliwa utafikiri hao washambuliaji hawakerwi na hili jambo. Jamani kwenye ukweli tupongeze na sio kubisha hata yale ya msingi.
 
Haya madongo bila shaka si ya bongo fleva ni yaa taarab!!!!
Acha ukenge wewe hii ni free market mtandao haupo m1 hapa tz,kama tiGO wanakuboa unaweza sepa tu,sasa serikali wakifunga hao wafanyakazi utawalipa wewe? Unajua cost za ku-run sites wewe au kujenga mnara m1?

Unajua vitu vinavyaffect networks hasa hz za MW? Acha umasabauri wewe,mitandao hapa tz hipo kama nane unaweza ukasepa tu,yani kupata msg moja tu unalalamika, mtu mwenyewe unaweka jero baada ya wiki,ndio maana hata ikipotea sh10 unalalamika fanya kazi wewe uongeze kipato chako!
 
Wanachofanya Tigo ni sawa na kazi inayofanywa na 'tigo',hakuna tofauti!
 
Acha ukenge wewe hii ni free market mtandao haupo m1 hapa tz,kama tiGO wanakuboa unaweza sepa tu,sasa serikali wakifunga hao wafanyakazi utawalipa wewe? Unajua cost za ku-run sites wewe au kujenga mnara m1?

Unajua vitu vinavyaffect networks hasa hz za MW? Acha umasabauri wewe,mitandao hapa tz hipo kama nane unaweza ukasepa tu,yani kupata msg moja tu unalalamika, mtu mwenyewe unaweka jero baada ya wiki,ndio maana hata ikipotea sh10 unalalamika fanya kazi wewe uongeze kipato chako!

Mwambie huyo.
 
Msimbeze mtoa mada, kuna uwezekano mkubwa hii kampuni imeshauzwa, baadhi ya ofisi zao zimeshahamishwa na minara yao wameshaiuzia kampuni kutoka nje inayoitwa HTT Infranco limited. Si mnaona jinsi walivyo na dharau kwa wateja wao, sababu wanajua hawana watakachopoteza.

Kama kuuzwa tigo cyo ya kwanza, mbona celtel na zain ziliuzwa, acha umbea.
 
Kuna wahindi wameinunua hii kampuni, ni wajeuri kama nini? hivi serikali ipo kweli? Hapa ofisini tabu tupu wameanza kupunguza wafanyakazi na kupachika wahindi wenzao. Mikataba mingi ya staff inaiisha mwezi huu.
 
Acha ukenge wewe hii ni free market mtandao haupo m1 hapa tz,kama tiGO wanakuboa unaweza sepa tu,sasa serikali wakifunga hao wafanyakazi utawalipa wewe? Unajua cost za ku-run sites wewe au kujenga mnara m1?

Unajua vitu vinavyaffect networks hasa hz za MW? Acha umasabauri wewe,mitandao hapa tz hipo kama nane unaweza ukasepa tu,yani kupata msg moja tu unalalamika, mtu mwenyewe unaweka jero baada ya wiki,ndio maana hata ikipotea sh10 unalalamika fanya kazi wewe uongeze kipato chako!

Mkuu King Kong III - punguza hasira!
 
Msimbeze mtoa mada, kuna uwezekano mkubwa hii kampuni imeshauzwa, baadhi ya ofisi zao zimeshahamishwa na minara yao wameshaiuzia kampuni kutoka nje inayoitwa HTT Infranco limited. Si mnaona jinsi walivyo na dharau kwa wateja wao, sababu wanajua hawana watakachopoteza.

sure,mtoa mada hapasw kudharauliwa au kubezwa,anaongea kama mteja wa tiGO wa sasa
 
Ukweli ni kwamba tigo wamesha shindwa kazi,haiwezekani unampigia mtu simu na simu ina salio la kutosha harafu unaambiwa huna salio la kutosha.Na tabia hii huwa inajitokeza mara kwa mara,pia masikilizano wakati wa mazungumzo huwa yanasumbua sana
 
Dah jamaa amepanic sana sijui ni mmiliki wa tigo?

Hakuna kitu kama hicho alichoboa huyo mtoa mada analalamika kwa vitu vya kijinga(sio vya kipumbavu),wa-tz tunapenda kulalamika sana,kama ukiolewa huna haja ya kulala na jeans kama umeomua kupanda bito vumulia kubanana otherwise panda libasi likubwa options zipo kibao tu kama hawezi apige kimya.
 
hata kama wanaponda ujumbe umefika, tgo hawana lolote hata voda wazushi tu, air tel sijawah kuitumia
 
Back
Top Bottom