Serena acquires Mövenpick Hotel in Dar es Salaam

Mkuu mi ni mtaalamu wa Kodi.Kubadilisha jina hakuna uhusiano wowote wa kukwepa kodi.Tax holiday ilishakufa tangu 2000.Kodi inatozwa kwa operations na mtaji wa kampuni na sio jina la kampuni.Hapo kinachobadilika ni uongozi wa hotel ambao wanakuja na jina lao.Mfano makampuni ya simu yanabadilisha majina na log zao ila kodi ni ile ile.Kama imeuzwa hapo kitakua na capital gaini yax

kwa nini watz waendelee kulalamikia iko kitu cha kukwepa kodi kama mlishaifuta watangazieni kuwa ataubadilishe jengo kama sio jina kodi ipo pale pale na kwa maandishi ya kushuhudia yaani reference..
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Hayo ni majina ya hotel management. Jina la kampuni ni Tanruss Investment tokea zamani. Hao Sheraton, Royal Palm, n.k. ni hotel management. Kubadilisha majina ya hotel management hakuna significant tax implications.
Ni kama Airtel, kampuni ilikuwa inaitwa Celtel Tanzania Ltd tangu zain. Kwa sasa imebadilishwa jina inaitwa Airtel kwa kuwa mmiliki amebadilika.
Kuhusu kulalamika kwa watu, nadhani inatokana na kutojua ukweli. Information za kampuni zote Tanzania zinapatikana BLERA na ni public information upon request.
 
  • Thanks
Reactions: EMT

View attachment 34565


Sasa ni dhahiri Movenpick imeshauzwa kwa mmiliki mpya ambaye ni Aga Khan anayemiliki Hoteli za Serena


Hoteli hiyo ambayo tumeshuhudia ikiendeshwa kwa kupokezana kama mbio za vijiti ilianzishwa hapo mnamo mwaka 1995 ikiwa inamilikiwa na wafanyabiashara wa Kitanzania wakishirikiana na wafanyabiashara wa Ki-Russia ambapo waliunda kampuni wakaiita TANRUSS ikiwa ndio mmiliki wa jengo, lakini Hotel ikaitwa Sheraton, kwa sababu ilikuwa ikiendeshwa na menejimenti ya chain ya Sheraton........... Baada ya TUNRUSS kutoridhishwa na namna menejimenti ya Sheraton ilivyokuwa ikiendesha Hotel hiyo wakaitimua Kimafia na kuisimika menejimenti ya Legacy Hotel ya kule South Africa, lakini wakaamua kuweka Property name ili wasije wakapoteza Identity kama wakibadilisha menejimenti kwa mara nyingine. Kwa hiyo ikaitwa Royal Palm Hotel. na kuAnzia hapo Hotel ikajulikana kwa jina la Legacy Royal Palm Hotel. Baada ya miaka kadhaa TUNRUSS wakaamua kuuza mjengo kwa Mwana wa Mfalme wa Saudia Walid BinTalal kwa silimia 99 huku TANRUSS wakibakiwa na asilimia 1 ambapo umiliki ukahamia kwenye kampuni ya mwana huyo wa Mfalme iitwayo Kingdom Hotel Investment. Hotel ilikabidhiwa kwa menejimenti ya Movenpick ambapo mwana wa mfalme ana hisa zizokadiriwa kufikia asilimia 36 katika Chain ya Movenpick. Na sasa Mwana wa Mfalme ameamua kumuuzia Aga Khan ambapo sasa inaitwa Serena Royal Palm Hotel................

Bado kuna wingu zito kuhusiana na haki za wafanyakazi kulingana na tamko rasmi kutoka Movenpick Head Office, kwani hawajui hatma yao. Labda sasa wana sheria watusaidie kutuelimisha kama Wafanyakazi waliofanya kazi tangu Sheraton Mpaka sasa wanayo mafao yoyote au wataendelea na kazi wakiwa na mwajiri mpya bila kulipwa mafao yao?

ANGALIZO: Ikumbukwe kwamba Hotel ina miaka 16 sasa tangu ifunguliwe hapo mnamo mwaka 1995

Na hapa chini ndio tamko toka Movenpick makao makuu……..



Internal Announcement

July 27, 2011

Mövenpick Hotels & Resorts will no
longer manage Mövenpick Royal Palm
Hotel, Tanzania


Dear Colleagues,
We regret to announce that Mövenpick Hotels & Resorts will no longer manage
Mövenpick Royal Palm Hotel, Dar es Salaam – Tanzania. We are currently
under negotiation with the ownership for the exact exit date.

KHI, the owning company of the hotel, has decided to sell the property to the
Serena Hotel Group that not only owns hotels but also operates them.
The hotel staff are currently employed by a subsidiary of KHI and will be
employed by the new owner after the sale of the property. We have been
assured that there will be no changes to the employment agreements. We are
also working with all parties involved to find an adequate solution for those
employees who are flexible and who want to stay with us.

“We have been managing the hotel since 2005 and we regret to see this property
leaving our Africa portfolio. We would like to thank all the hotel employees for
their hard work and dedication over the past years, they have achieved great
results and were a key contributor to our region and Mövenpick Hotels &
Resorts”, said Roger Kacou, Senior Vice President – Africa.

On a positive note, we have already signed a property in Arusha, Tanzania and
we are continuously looking for potential management opportunities in the
African region.

Best Regards,

Roger Kacou

Senior Vice President - Africa

Remember that currently the issue of building, owning, ie majority share is no longer a deal, people are currently talking on management and controlling. hakuna wizi hapo ni tubadilike tu kwenda na wakati
 
Hizo ndiyo pros na cons za International Business. Huna sababu kukomaa na li biashara ambalo unaona halikupi faida kwa hiyo ' kuna free entry na free exit. Ule mfumo wa 'Kichaga" wa kung'ang'ania kumiliki Toyota Stout mpaka urithishe wanao hauna nafasi kwenye globalised market.

Very true ila ishu ya wafanyakazi ndo inakuwaga na mawenge sana pamoja na tax holidays wanazopewa wawekezaji wapya.
 
Wajinga ndio waliwao!
Tanzanians are loosing millions of taxes through this process. All of us know, but.......
What else can you say? Sahmba la bibi, a country where, everyone can do and play whatever he/she likes!
Mungu ibariki Tanzania.
 

Kampuni ya Serena yanunua Mövenpick
Send to a friend
Thursday, 24 November 2011 20:19
0digg

Na Mwandishi Wetu
Kampuni inayojishughulisha na Huduma za Hoteli na Utalii Afrika Mashariki (Tourism Promotion Services (TPS) ambayo pia inamiliki hoteli za Serena imenunua hoteli ya Mövenpick Royal Palm ya jijni Dar es Salaam.

Kutokana na kununuliwa hoteli hiyo na TPS sasa itabadilishwa jina na kuwa Dar es salaam Serena Hotel kuanzia mwanzoni mwa mwezi ujao. Mövenpick Royal Palm Hotel ni hoteli yenye vyumba 230 na hadhi ya nyota tano.

TPS (D) Limited ndiyo kampuni ya ununuzi inayomilikiwa na Aga Khan Fund for Economic Development (AKFED), TPS Eastern Africa Limited (TPSEAL), PDM (Holdings) Limited, PROPARCO and NORFUND .

Mkurugenzi Mtendaji wa TPSEAL, Mahmud Jan Mohamed katika taarifa yake kwa vyombo vya habari alisema kufunguliwa kwa hoteli za Serena jijini Dar es Salaa ni utekelezaji wa mpango wa muda mrefu wa kufungua hoteli katika miji mikuu Afrika Mashariki, yaani "City Hotel Circuit"

Alisema kutokana na kuwapo kwa hoteli tanzu za Serena, hoteli hii itafaidika na mtandao ulioenea Tanzania, Zanzibar, Kenya, Msumbiji, Rwanda na Uganda.

" Lengo letu ni kupanua wigo wetu nchini na maeneo mengine. Hotel za Serena zinalenga kufikisha huduma bora kwa wateja wake, kutoa fursa za kazi za kuvutia kwa wafanyakazi wake," alisema

Kwa sasa hoteli za Serena zina waajiriwa 3,400 kwa Afrika Mashariki.Jan Mohamed alisema Serena Hotels imepanuka kutoka vituo vinne mwanzoni mwa miaka ya 1970 hadi kufikia hoteli za kifahari za aina tofauti 25 zinazotoa huduma za kitalii katika nchi sita za Afrika.

Alisema mbali na uwekezaji katika ukanda huu wa Afrika Mashariki, pia TPS ina vitega uchumi vitega uchumi 10 katika nchi za Afghanistan, Pakistan na Tajikistan.

Serena Hotels zilianzishwa Tanzania mnamo mwaka 1996 zikianza na vituo 5 na kupanuka hadi
10 uwekezaji ukiwa Arusha, Ukanda wa Kaskazini wa Utalii, Ukanda wa Kusini wa Utalii na sasa Dar es salaam.

jamani naangalia hii trend ya hoteli hii kubadilishwa "wamiliki" wa hoteli hii, leo kwenye mwananchi nasikia imekwenda sasa hivi kwa serena hotels!!!! soma mwenyewe...... source gazeti la mwanachi
 
Mkuu mambo ya corporate tax hayo na sheria zetu 'malaya' za uchumi!
 
Thu Nov 24, 2011 6:53am GMT

* Dar es Salaam Serena has 230 rooms
* Value of transaction not disclosed

NAIROBI Nov 24 (Reuters) - Kenya's TPS Eastern Africa , operator of the Serena Hotels chain, has bought a five-star hotel in the Tanzanian capital Dar es Salaam, giving the chain a presence in one of the region's fastest-growing economies.
TPS said it had acquired the 230-room, five-star Royal Palm Hotel from Movenpick Hotels and Resorts, without disclosing the value of the transaction.

The hotel will be renamed the Dar es Salaam Serena Hotel from next month, TPS said in a statement late on Wednesday.
"The hotel will be positioned as the premier up-market five-star hotel for the discerning corporate and leisure clientele," the company said.

TPS operates in Kenya, Zanzibar, Mozambique, Rwanda and Uganda. It also has a small presence in northern Tanzania.
Serena Hotels has expanded from four units in the early 1970s to a collection of 25 luxury hotels, resorts, camps and safari lodges catering to the leisure and business markets.

Its main shareholder is the Aga Khan Fund for Economic Development, an international development agency. (Reporting by Duncan Miriri; Editing by Barry Malone and Will Waterman)



 
Kempinsi - waarabu wa Mafuta wametukimbia - Agha Kan - Serena anatuchukulia hio hoteli yetu

Kumbuka Kempinsi wana Hotel CHAD na ni kwanini wameondoka TZ; from Zanzibar, Arusha na Dar?

Ningewapendelea Kempinsi zaidi sababu nikitimbelea Arabuni na Far East Mahoteli yao ni Mazuri na huduma Safi

Hii ni kwasababu tuliwasema na Suit walizompa Rais wetu Mpendwa?
 
Kempinsi - waarabu wa Mafuta wametukimbia - Agha Kan - Serena anatuchukulia hio hoteli yetu

Kumbuka Kempinsi wana Hotel CHAD na ni kwanini wameondoka TZ; from Zanzibar, Arusha na Dar?

Ningewapendelea Kempinsi zaidi sababu nikitimbelea Arabuni na Far East Mahoteli yao ni Mazuri na huduma Safi

Hii ni kwasababu tuliwasema na Suit walizompa Rais wetu Mpendwa?
Mkuu hapa inaongelewa Movenpick sio Kempenski.
 
Mkuu, si fice years exemption. Ilikuwa ni five year tax holiday. Ni vitu viwili tofauti. Hiyo sheria ya five years tax holiday ilishareebishwa na hicho kipengele kilishaondolewa wakati masuala ya tax exemption yana taratibu zake

Mkuu mi ni mtaalamu wa Kodi.Kubadilisha jina hakuna uhusiano wowote wa kukwepa kodi.Tax holiday ilishakufa tangu 2000.Kodi inatozwa kwa operations na mtaji wa kampuni na sio jina la kampuni.Hapo kinachobadilika ni uongozi wa hotel ambao wanakuja na jina lao.Mfano makampuni ya simu yanabadilisha majina na log zao ila kodi ni ile ile.Kama imeuzwa hapo kitakua na capital gaini yax

Wakuu mnaweza kutufafanulia zaidi? Ninachoelewa ni kwamba Tax holidays iliyoondolewa kwa wawekezaji kwenye sekta ya mabenki mwaka 2000. Kabla ya hapo serikali ilikuwa tayari imeshapunguza muda wa tax holidays kwa mabenki kutoka miaka mitano hadi miwili baada ya kulazimishwa na IMF and wafadhili kufanya hivyo. Huko kwingine, ni sheria ipi iliyoondoa ay kufanya mabadiliko?

Inawezekana tax holidays zimeondoshwa lakini tax incentives ndio bado zipo. Kama sivyo, ni kwa nini tunapoteza mapato mengi hivyo kama zimeondolewa? kwa mfano mwaka wa fedha 2009/10, tax exemptions zilikuwa jumla ya Tsh 695 billion ($464 million). Hii ni zaidi ya nusu ya Tsh 1.3 trillion ($867 billion) serikali ilipanga kukopa kwenye commercial banks kwa ajili ya kugharamia infrastructure kwa mwaka wa fedha 2010/11.

Nashindwa kuelewa kama mambo yalishakuwa sorted tokea 2000, inakuwaje tax exemptions zinaongezeka kwa speed kila mwaka tena kupita nchi nyingine za Afrika Mashariki? Kwa mfano, tax exemptions ziliongezeka mara mbili ndani ya mwaka mmoja kuanzia Tsh 459 billion ($306 million) mwaka 2004/05 hadi kufikia Tsh772 billion ($515 million) mwaka 2005/06. Mwaka 2008/9, tax exemptions zilikuwa 2.8% ya GDP na mwaka 2009/10, 2.3% ya GDP. Mwaka 2008/09 and 2009/10, serikali ilishindwa kufikia target ya iliyojiwekea ya ukusanyaji mapato kwa Tsh453 billion ($302 million) kwa wastani. Kipindi hichi hicho, tax exemptions zilikuwa Tsh 724 billion ($483 million) kwa mwaka.

Kwa vile mnasema masuala ya tax exemptions yana taratibu zake, mnaweza kutufafanulia hizo taratibu? Kwa sababu pamoja na mabadiliko hayo yote mliyoyataja, haiwezekani, tax exemption ziendelee kuwa kubwa hivyo.
 
Yale yale ya samaki wa Fukushima, watanzania tuamke rasilimali za nchi yetu zinachakachuliwa hivi hivi mchana kweupeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!
Cheki huu mchakachuo utatamani kuwa rebel:

Mheshimiwa Spika,

Kwenye sekta ya Viwanda, Kampuni ya Bia Tanzania ambayo inamilikiwa na SABMILLER nayo pia imeripotiwa kutumia njia ya kimkakati kukwepa kodi ikiwemo kusajili hatimiliki na hivyo kupata mrahaba ambao hautozwi kodi , mfano ni kwenye pombe aina ya CHIBUKU ambapo jina hilo limesajiliwa huko Netherlands na kampuni tanzu ya TBL.

MHE.KABWE ZUBERI ZITTO (MB) August 2011

Mpaka hatimiliki za pombe za mataputapu zinasajiliwa Netherlands kukwepa kodi!
 
Back
Top Bottom