Umsolopogaas
Member
- Jul 18, 2010
- 40
- 11
Jamani mbona watu wangu wanasahau sensa ya watanzania 2012? Nyie mlioko Takwimu, Mipango, Ikulu, na wadau wengine, mbona hatusikii lolote kuhusu sensa? Sensa ya mwisho ilifanyika 2002. Actually ilitakiwa kufanyika 1998 lakini wakazembea. kwa hiyo ili kwenda sawa sensa iliyofuata ilitakiwa ifanyike 2008 lakini mh! Mlizembea tena! Sasa angalao 2012 yaani miaka 10 tangu 2002.
Hivi kweli huko serikalini koote hakuna mtu hata mmoja mwenye ujasiri wa kumkumbusha bosi wake kuwa kuna kitu muhimu kinasahaulika?
Au mnatarajia kuchakachua tu kama mnavyochakachua mambo mengi, kwani ni nani atalalamika kuwa hakuhesabiwa?
Hivi kweli huko serikalini koote hakuna mtu hata mmoja mwenye ujasiri wa kumkumbusha bosi wake kuwa kuna kitu muhimu kinasahaulika?
Au mnatarajia kuchakachua tu kama mnavyochakachua mambo mengi, kwani ni nani atalalamika kuwa hakuhesabiwa?