Oil money and wall street big money na kufanya kazi pamoja na wazunguNini siri ya Dubai kuendelea kiasi hicho ?
Oil money and wall street big money na kufanya kazi pamoja na wazunguNini siri ya Dubai kuendelea kiasi hicho ?
china ni Taifa dogo.....!!!Wanapendana kuliko watu wote duniani,hawa wayahudi,wanaongoza mataifa yote makubwa kutokea israeli,ufaransa,ujerumani,uingereza,markani n.k top secret za mataifa hayo ni za kwao kutokea middle east Israel.
Walipata kiongozi ambae aliiongoza serikali kujenga mji wa kitalii utaoongeza vyanzo vya mapato tofauti na kutegemea mafuta tu kaa nchi nyingine za kiarabu!! Ndo kwenye yale magorofa ma3Nini siri ya Dubai kuendelea kiasi hicho ?
Ubaguzi wao uko vipi Mkuu? Mimi nimeishi jirani na waalabu sijapata kuona watu wema kama waarabu,tumeishinao karne na karne hapa lkn sijaona chochote kibaya kutoka kwao..ni watu wenye imani na huruma zaidi kuliko mataifa yote unayoyajua, hakuna cha wazungu wala waislaeli wanaotuulia waafrika wenzetu, tatizo letu wabongo tunawashobokea mno watu hawa bila kujua wanatuchukia kias gani.myahudi ni ****** hafai hata kidogo.
Mimi kama mtanzania napinga sana ubaguzi jamani. Hebu watanzania wenzangu tuishi kwa amani na upendo na tuache racism, ni hayo tu mkuu
Porojo tu.Myahudi sio mwenzako wewe hata kama una cv ya namna gani ukienda kwao utaishia kuwaosha watoto wao,kuwatawaza,manyanyaso juu na kukuuwa kabisa
Yaani hao jamaa mkiwashirikiria watu wao hata 3 tu haijarishi wana makosa au hawana, baasi taifa zima mtapata shida.
wanapendana hatari na hakuna taifa ambalo linawajari watu wake kma lile kuanzia wafungwa.
Tatizo moja ni wabaguzi hakuna mfano
Muulize yule mbunge aliyekuwa anajifanya wakala wa kuwatafutia kazi uarabuni mabinti zetu,sasa hivi mabinti zetu wamewaharibu kwa tabia zao mbaya na wengine wamedhurumiwa haki zao huko,wewe waarabu noma sana si watu hao
Unaishi dunia ipi nduguu hutazami tv ama hii kitu inaitwa drone nikifaa ambacho hutumiwa kuchukua video ama picha anganiKinaitwaje hiki mkuu naona kina camera
Huyu bibi kashatia timu foxy.. Ni hatari tupu!!mada hii watu wanaandika kama walevi vile!
= wamedhulumiwa
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kwanini tuwaongelee hao? hawana maslahi yoyote kwetu. Ebu tuongelee jinsi tutakavyowafikia kwenye technoligia yao. Kujenga uzalendo, kushirikiana, kuwapa wanafunzi wetu hasa wa sayansi uwezo wa kuvumbua vitu vingi. Viongozi wetu wawe na sera kama za mao za kuwafanya wasiwe na mawazo mgando kuwa mpaka mzungu au muisrael tu ndo anaweza. Amkeni hacheni fikra za kuwarudisha nyuma. Mungu aliumba binadamu wote sawa.....
Ni vyema ukaahirisha uko uturuki kwa sasa si salama
Brutal race everMuulize yule mbunge aliyekuwa anajifanya wakala wa kuwatafutia kazi uarabuni mabinti zetu,sasa hivi mabinti zetu wamewaharibu kwa tabia zao mbaya na wengine wamedhurumiwa haki zao huko,wewe waarabu noma sana si watu hao
Faizafox on "their" workHivi kuandika hivyo mwenyewe unajiona upo sahihi kabisa? Ndivyo ulivyofundishwa kuandika hivyo na walimu wako? Au ni ujinga wa asili?
One area being a good area doesn't make middle East safe to beMiddle east is middle east what's happen in middle east stays in middle east but there some part of middle east is the best place to be like Jordan kuna caves na tourist attraction zakuvutia plus the food mmmmmmh!! It's delicious you have to go there guys really you will enjoy it