Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Shule hiyo kongwe ya wasichana iliyoko Bukoba imeungua tena usiku wa kuamkia leo
chanzo ni mfumo wa umeme kuwa wa zamani
wanafunzi 7 wameungua vibaya wamelazwa hospitali ya mkoa Kagera
hii ni mara ya tatu kuungua kwa kipindi kisichozidi miezi sita
wenye watoto shuleni hapo CHUKUA ATUA
Chanzo:Radio Free Africa
chanzo ni mfumo wa umeme kuwa wa zamani
wanafunzi 7 wameungua vibaya wamelazwa hospitali ya mkoa Kagera
hii ni mara ya tatu kuungua kwa kipindi kisichozidi miezi sita
wenye watoto shuleni hapo CHUKUA ATUA
Chanzo:Radio Free Africa