Nimepata taarifa hivi punde kuwa bweni la sekondari kongwe ya wasichana iitwayo Rugambwa iliyoko Bukoba imeungua moto leo saa 7 mchana.
hata hivyo hakuna aliyekufa wala kujreruhiwa,ingawa magodoro na mali kadhaa za wanafunzi zimeteketea kwa moto.
kikubwa ni kuwa wanafunzi wamelazimika kuwabeba wafanyakazi wa kikosi a zima moto cha manispaa ya Bukoba ambao wamefika hapo dk 10 tu mara baada ya moto kulipuka na wameweza kuazima moto huo .
chanzoi cha moto bado hakijafahamika
Hivi ni kwa nini kasi ya mabwweni ya wasichana kuungua inaongezeka ?
hata hivyo hakuna aliyekufa wala kujreruhiwa,ingawa magodoro na mali kadhaa za wanafunzi zimeteketea kwa moto.
kikubwa ni kuwa wanafunzi wamelazimika kuwabeba wafanyakazi wa kikosi a zima moto cha manispaa ya Bukoba ambao wamefika hapo dk 10 tu mara baada ya moto kulipuka na wameweza kuazima moto huo .
chanzoi cha moto bado hakijafahamika
Hivi ni kwa nini kasi ya mabwweni ya wasichana kuungua inaongezeka ?