Chona
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 523
- 361
Kwa muda mrefu kumekuwa na malalamiko kuwa baadhi ya makampuni, NGO, Mashule, Taasisi, Viwanda na sehemu zingine za kazi kumekuwa na ongezekeo kubwa la wafanyakazi wa Kigeni, hali inayoashiria kuwa nafasi nyingi ambazo zingeweza kukaliwa na wazawa na kupunguza tatizo la ajira sasa zinakaliwa na wageni toka nje ya nchi.
Lakini malalamiko hayo yamekuwa na msingi mkubwa kuwa watu hao wanaohudumu kwenye nafasi hizo wengi wanasifa ambazo watanzania wengi wanazo. Wengine wameenda mbali zaidi na kueleza kuwa wafanyakazi wengine wa kigeni wana sifa ambazo zipo chini ya zile walizonao watanzania.
Lakini pia kumekuwa na manunguniko kuwa viwanda vingi vinavyomilikiwa na wahindi vimekuwa na idadi kubwa ya wahindi wanaeletwa toka Hindia na kuja kufanya kazi ambazo zingeweza kufanywa na watanzania. Imeripotiwa kuwa wengine wanaishi kwenye magodown ili wasionekane mitaani na hivyo kuhalibu deal.
Tatizo lingine limekuwa ni kwenye payment inayofanywa baina ya hao watu toka nje na wale wa tanzania. Fununu zinasema kuwa wengi wanalipwa mishahara mikubwa ila amount zao hazipiti kwenye pay roll.
Unakuta kwenye pay roll analipwa mshahara wa kawaida ila malipo mengine yanafanywa nje ya pay roll, kwamba anapewa fungu lingine kwenye bahasha. Na hii imekuwa ikifanywa ili kutozua manunguniko na molali ya kufanya kazi kwa watu wengine. Lakini pia kama hii inafanyika basi serikali inapoteza mapato kwa kutokata kodi kwenye hayo malipo mengine.
Sasa basi maadamu hapa tunao watu wa kada mbalimbali ambao pengine wanaweza kushughulikia tatizo hili likapungua kama sio kuisha na pengine wao si rahisi kujua ujanja wote na mahali walipo hao watu. Nichukue fursa hii kukuomba wewe mtanzania mwenzangu ambaye kweli unaona ndugu zetu wanakosa nafasi za kazi wakati wanazosifa ambazo zinawawezesha kufanya kazi zinazofanywa na hao wanaoitwa wataalam (expert/ specialist fake)kwenye hizo sehemu ututajei mahali na idadi ambayo unahifahamu ya hao wafanyakazi wa kigeni wanao chukua ajira za ndugu zetu. Na hapa tuwe wazi tusiweke hisia zetu mbele tukasingizia tu, kiukweli zipo kazi ambazo bado tunahitaji wataalam toka nje.
Lakini kwavile sisi ndo tunafanya nao kazi au tunaishi nao na tunajua taaluma yao ni dhahili kuwa tunajua kuwa huyo kweli utalaam wake unahitajika pale au utaalamu alio nao wapo wenzetu ambao wanaweza kufanya hizo kazi anazo fanya bila wasiwasi. Na hivyo yeye hastahili kuwepo mahali pale maana anaziba nafasi ya wenzetu.
Uzi huu nataka uwafungue macho watu wa Wizara ya Kazi na Ajira wajue sehemu za kufuatilia working permit za watu na walizitoaje wakati kazi hizo zinaweza kufanywa na watu wetu. Lakini pia itasaidia Mmalaka ya uhamiaji maana nao imekuwa inalaumiwa kwa kutoa permit kama njungu. Mwisho Polisi na watajua sehemu za kufuatilia ili tulinde soko la ajira la ndugu zetu.
Angalizo kuna watu huwa wanasema kuwa watanzania hawajitumi na hivyo upelekea watu kuajili watu wasiokuwa watanzania, nasema hapa si mahali pake pa kujadili hilo. Wengi wanakatishwa tamaa na tofauti ya malipo inayofanywa baina yao na wageni ingawa kazi ni zile zile. Tutajadili siku nyingine hilo. Tunahitaji kujua mahali ambapo hao wafanya kazi wa kigeni wamejificha au kufichwa kwa kisingizio cha kufanya kazi wakati hizo kazi zinaweza kufanywa na wazawa. Tuwafuchue, tufichue hizo sehemu zijulikane hili mwisho wasiku tulaumu vyombo vyetu kwa kukaa kimya bila kuchukua hatau kama tutakuwa tumewaorodhoshea hizo sehemu.
Karibu kwa kutaja sehemu husika.
Mpaka sana tuna list hii
1. Odysei Internation Casino
2. Legrand Casino
3. Kilimanjaro Kempinsk Hotel
4. Palm Beach Hotel
5. Sea Cliff casino
6. Future Group - Regent Estate. Intl Health NGO
7. Ifakara Health Institute Research More Kenyans are hiding on false Tanzanian names n receive good posts and salary
8. Imma World health- Regent estate
9. Quality Group of companies- A lot of Indians imported on daily basis to work for Manjistu
10. KCB
11. Uchumi Bank- Kenyans are too many
12. Barclays- Senior management and High post are exclusive for foreigners
13. Banc ABC- To many Zambians,ZIM, Ghanians
14. Delloitte & Touch Tz Ltd - Too many Kenyans
15. African Barrick Gold- Buzwagi,North Mara,Bulyanhulu,Tulawaka- Too many South Africans who to some extent have not gone to school.
16. Paradise Group of Companies- Too many SOmalis as we know they hv diverted form schools.
17. Alliance One Tobacco T ltd. Morogoro- To many Foreigners on senior positions.
18. Tanzania Road Haulage TRH.- Too many unnecessary indians
19. Air Tel- Scouting too many ponjoros now on
20. Jambo plastic- uki tokea tazara kama una kwenda uwanja wa ndege wapo wengi
21. Tanzanite One wapo wengi sana toka nchi ya Nepel wanafanya kazi za ulinzi
22. Kempinsik hotel kuna wafilipino wengi tu
23. Viwanda vya karatasi maeneo ya mbozi road wameajili wakenya wengi tu
24. Grumeti Reserves - Nafasi zote za juu zimeshikwa na waKenya + South Africa.
25. Bonite Bottles - waIndi wamejazana utafikiri umeingia Punjap
26. Serena Hotels - WaKenya wamejazana kama Nakuru utashagaa hata nafasi za wafagizi wanatoka Kenya.
27. Mt Meru Petroleum - WaIndi ni wengi.Wapo waIndi wasioruhusiwa kutoka nje hawajui Arusha ina mvua au jua.
28. TANELEC Nafasi zote za juu zimeshikwa na waKenya.
Lakini malalamiko hayo yamekuwa na msingi mkubwa kuwa watu hao wanaohudumu kwenye nafasi hizo wengi wanasifa ambazo watanzania wengi wanazo. Wengine wameenda mbali zaidi na kueleza kuwa wafanyakazi wengine wa kigeni wana sifa ambazo zipo chini ya zile walizonao watanzania.
Lakini pia kumekuwa na manunguniko kuwa viwanda vingi vinavyomilikiwa na wahindi vimekuwa na idadi kubwa ya wahindi wanaeletwa toka Hindia na kuja kufanya kazi ambazo zingeweza kufanywa na watanzania. Imeripotiwa kuwa wengine wanaishi kwenye magodown ili wasionekane mitaani na hivyo kuhalibu deal.
Tatizo lingine limekuwa ni kwenye payment inayofanywa baina ya hao watu toka nje na wale wa tanzania. Fununu zinasema kuwa wengi wanalipwa mishahara mikubwa ila amount zao hazipiti kwenye pay roll.
Unakuta kwenye pay roll analipwa mshahara wa kawaida ila malipo mengine yanafanywa nje ya pay roll, kwamba anapewa fungu lingine kwenye bahasha. Na hii imekuwa ikifanywa ili kutozua manunguniko na molali ya kufanya kazi kwa watu wengine. Lakini pia kama hii inafanyika basi serikali inapoteza mapato kwa kutokata kodi kwenye hayo malipo mengine.
Sasa basi maadamu hapa tunao watu wa kada mbalimbali ambao pengine wanaweza kushughulikia tatizo hili likapungua kama sio kuisha na pengine wao si rahisi kujua ujanja wote na mahali walipo hao watu. Nichukue fursa hii kukuomba wewe mtanzania mwenzangu ambaye kweli unaona ndugu zetu wanakosa nafasi za kazi wakati wanazosifa ambazo zinawawezesha kufanya kazi zinazofanywa na hao wanaoitwa wataalam (expert/ specialist fake)kwenye hizo sehemu ututajei mahali na idadi ambayo unahifahamu ya hao wafanyakazi wa kigeni wanao chukua ajira za ndugu zetu. Na hapa tuwe wazi tusiweke hisia zetu mbele tukasingizia tu, kiukweli zipo kazi ambazo bado tunahitaji wataalam toka nje.
Lakini kwavile sisi ndo tunafanya nao kazi au tunaishi nao na tunajua taaluma yao ni dhahili kuwa tunajua kuwa huyo kweli utalaam wake unahitajika pale au utaalamu alio nao wapo wenzetu ambao wanaweza kufanya hizo kazi anazo fanya bila wasiwasi. Na hivyo yeye hastahili kuwepo mahali pale maana anaziba nafasi ya wenzetu.
Uzi huu nataka uwafungue macho watu wa Wizara ya Kazi na Ajira wajue sehemu za kufuatilia working permit za watu na walizitoaje wakati kazi hizo zinaweza kufanywa na watu wetu. Lakini pia itasaidia Mmalaka ya uhamiaji maana nao imekuwa inalaumiwa kwa kutoa permit kama njungu. Mwisho Polisi na watajua sehemu za kufuatilia ili tulinde soko la ajira la ndugu zetu.
Angalizo kuna watu huwa wanasema kuwa watanzania hawajitumi na hivyo upelekea watu kuajili watu wasiokuwa watanzania, nasema hapa si mahali pake pa kujadili hilo. Wengi wanakatishwa tamaa na tofauti ya malipo inayofanywa baina yao na wageni ingawa kazi ni zile zile. Tutajadili siku nyingine hilo. Tunahitaji kujua mahali ambapo hao wafanya kazi wa kigeni wamejificha au kufichwa kwa kisingizio cha kufanya kazi wakati hizo kazi zinaweza kufanywa na wazawa. Tuwafuchue, tufichue hizo sehemu zijulikane hili mwisho wasiku tulaumu vyombo vyetu kwa kukaa kimya bila kuchukua hatau kama tutakuwa tumewaorodhoshea hizo sehemu.
Karibu kwa kutaja sehemu husika.
Mpaka sana tuna list hii
1. Odysei Internation Casino
2. Legrand Casino
3. Kilimanjaro Kempinsk Hotel
4. Palm Beach Hotel
5. Sea Cliff casino
6. Future Group - Regent Estate. Intl Health NGO
7. Ifakara Health Institute Research More Kenyans are hiding on false Tanzanian names n receive good posts and salary
8. Imma World health- Regent estate
9. Quality Group of companies- A lot of Indians imported on daily basis to work for Manjistu
10. KCB
11. Uchumi Bank- Kenyans are too many
12. Barclays- Senior management and High post are exclusive for foreigners
13. Banc ABC- To many Zambians,ZIM, Ghanians
14. Delloitte & Touch Tz Ltd - Too many Kenyans
15. African Barrick Gold- Buzwagi,North Mara,Bulyanhulu,Tulawaka- Too many South Africans who to some extent have not gone to school.
16. Paradise Group of Companies- Too many SOmalis as we know they hv diverted form schools.
17. Alliance One Tobacco T ltd. Morogoro- To many Foreigners on senior positions.
18. Tanzania Road Haulage TRH.- Too many unnecessary indians
19. Air Tel- Scouting too many ponjoros now on
20. Jambo plastic- uki tokea tazara kama una kwenda uwanja wa ndege wapo wengi
21. Tanzanite One wapo wengi sana toka nchi ya Nepel wanafanya kazi za ulinzi
22. Kempinsik hotel kuna wafilipino wengi tu
23. Viwanda vya karatasi maeneo ya mbozi road wameajili wakenya wengi tu
24. Grumeti Reserves - Nafasi zote za juu zimeshikwa na waKenya + South Africa.
25. Bonite Bottles - waIndi wamejazana utafikiri umeingia Punjap
26. Serena Hotels - WaKenya wamejazana kama Nakuru utashagaa hata nafasi za wafagizi wanatoka Kenya.
27. Mt Meru Petroleum - WaIndi ni wengi.Wapo waIndi wasioruhusiwa kutoka nje hawajui Arusha ina mvua au jua.
28. TANELEC Nafasi zote za juu zimeshikwa na waKenya.