Mbangubangu
Senior Member
- May 6, 2013
- 188
- 69
Kwa wale wadau wa A town.naomba mwongozo ijumaa ni sehemu gani inabamba na jumamosi pia kwani ntakuwepo hapo jijini kwa siku za wkend.
Kaka, eleza starehe gani unai mind, maana hata ulevi na madadapoa ni starehe kwa wengineKwa wale wadau wa A town.naomba mwongozo ijumaa ni sehemu gani inabamba na jumamosi pia kwani ntakuwepo hapo jijini kwa siku za wkend.
Kwa wale wadau wa A town.naomba mwongozo ijumaa ni sehemu gani inabamba na jumamosi pia kwani ntakuwepo hapo jijini kwa siku za wkend.
labda ufafanue.starehe.gani.ndugu..kuna kula kunywa live band club.etc maana naweza.kukuambia milestone au city park kumbe unapenda fujofujo za band kama narok pub
Ijumaa milestone park, jmos garden rose na triple A, ww tu
Pinpoint,bybloon,club D(old garden),sky lounge na kuna pur ipo viwanja vya nanenane ina bamba mbaya.Kwa wale wadau wa A town.naomba mwongozo ijumaa ni sehemu gani inabamba na jumamosi pia kwani ntakuwepo hapo jijini kwa siku za wkend.
Pinpoint,bybloon,club D(old garden),sky lounge na kuna pur ipo viwanja vya nanenane ina bamba mbaya.
labda ufafanue.starehe.gani.ndugu..kuna kula kunywa live band club.etc maana naweza.kukuambia milestone au city park kumbe unapenda fujofujo za band kama narok pub
Nielekeze sehemu yenye nyama choma na ka bonas ka utumbo na castle lite briiiidi.