Ilisikika milipuko, sijui ni ya nini, ndio maana nikauliza. Ilifululiza kwa sekunde chache, maeneo ya kati ya jiji.
Na mimi nimeisikia, ilikuwa upanga karibu na ukumbi wa diamond
Maeneo hayo kuna Makao MAkuu ya JW, walio karibu tujuzeni isijekuwa yaleyale ya Gombs?
Ni guta lilikanyaga kopo la dasani.