Saudia Arabia yasema hakuna uhusiano na Israeli mpaka taifa la Palestina lipatikane

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
9,662
16,023
Hii ndio taarifa mpasuko kupitia wizara ya mambo ya nje Saudi Arabia ambayo inatajwa kuwa ni mshirika wa karibu wa Marekani na Israeli imeendelea kutoa msimamo wake kuwa hakutakua na uhusiano wa kidiplomasia na Taifa korofi la israeli mpaka pale Palestine itakapokua huru na makao yake makuu katika mji wa Quds (Jerusalem) kulingana na mipaka ya mwaka 1967.

Saudi Arabia_Palestine.jpg
 
Leo hii wanaikubali mipaka waliyoikataa,piga hayo magaidi hamasi na washirika wake. Hakuna taifa la palestina bali Israel
 
Hii ndio taarifa mpasuko .kupitia wizara ya mambo ya nje Saudi Arabia ambayo inatajwa kuwa ni mshirika wa karibu wa Marekani na Israeli imeendelea kutoa msimamo wake kuwa Hakutakua na uhusiano wa kidiplomasia na Taifa korofi la israeli mpaka pale Palestine itakapokua huru na makao yake makuu katika mji wa Quds ( Jerusalem) kulingana na mipaka ya mwaka 1967.
View attachment 2896581
Hawana lolote hawa mamluki wa Israel
 
Na hilo ni jambo ambalo halitawahi kutokea hadi siku ya hukumu, inabidi tuu waarabu wakubali kuishi na Wayahudi hata kama wana wachukia kiasi gani
 
Na hilo ni jambo ambalo halitawahi kutokea hadi siku ya hukumu, inabidi tuu waarabu wakubali kuishi na Wayahudi hata kama wana wachukia kiasi gani
Hakuna kukubali kutawaliwa vita itaendelea mpaka mshindi apatikane. Mpaka afe mpalestina wa mwisho duniani ndio vita itasimama.
 
Hii ndio taarifa mpasuko kupitia wizara ya mambo ya nje Saudi Arabia ambayo inatajwa kuwa ni mshirika wa karibu wa Marekani na Israeli imeendelea kutoa msimamo wake kuwa hakutakua na uhusiano wa kidiplomasia na Taifa korofi la israeli mpaka pale Palestine itakapokua huru na makao yake makuu katika mji wa Quds (Jerusalem) kulingana na mipaka ya mwaka 1967.

Hao wanafiki wanaongea hvyo huku wanawasaidia israel kukwepa vikwazo vya houth
 
Back
Top Bottom