Saudi Arabia mbioni kufilisika

Mzee2000

JF-Expert Member
Aug 7, 2009
527
221
Wachumi wanasema baada ya miaka mitano hazina ya Saudi Arabia itakuwa imekauka.

Kutokana na kushuka kwa bei ya mafuta, Saudi imekopa dolla billioni 10 kutoka kwenye masoko ya kimataifa wiki hii.Hii ni mara ya kwanza katika miaka 25 iliyopita.

- Kuanzia mwaka jana Saudi imetumia dollar bilioni 100 kutokana kwenye hazina yake.
-Kubalance bajeti bei ya mafuta inatakiwa iwe zaidi ya dollar 100 kwa pipa, kwa sasa pipa moja ni dola 40. Wataalamu wanasema pipa kufika dola 60 tu itakuwa ni muujiza.
-Kwa sababu hiyo Magufulinism ( kubana mtumizi) ya serikali kumeshaanza kodi za petrol n.k

Hii hali ni hatari hapo mbeleni , kuna wasiwasi wa kutokea instability hasa middle east kutokana na ugumu wa maisha kwa sababu ya kushuka kwa bei ya petroli.
 
Hebu fafanua kidogo, kwanini mafuta yanashuka bei?
Iran baadaa ya kuondelewa vikwazo vya kiuchumi yeye anauza mafuta yake kwa bei anayotakaa na ukumbuke nayeye anahazina kubwa ya mafuta....kagoma kujiunga na opec ili waweze kushirikiana kupanga bei ya mafuta sasa hii inamuwia vigumu waarabu wadubai
So hana ujanja inabidii sasa kishusha bei yake kwa pipa coz bithaa imekuwaa nyingi sokoni na technology imekuarahisi...
 
Saudi wana nyodo sana Mungu anawaadhibu.Ujue katika nchi zote za Khalij ni Saudi pekee wanasheria ya kuchinja watu.??Mwanamke saudi hathaminiwi kabisa mwanaume ndo kila kitu Saudi Arabia.Yani kuna vitu ukisikia unaweza kuhisi kama masihara lakin ni kwel
1.Mwanamke haruhusikii kula ice cream hadharani
2.Mwanamke haruhusiwi kukimbia hadharani hata uwe na haraka vip.
3.Mwanamke haruhusiwi kusalimiana hata na kaka yake wa damu hadharani kwa kushikana mikono au kugusana kwa style yoyote
4.Mwanamke haruhusiwi kudai talaka kama nchi zngne wanawake wanavyopewa kipaumbele.
5.Mwanamke harusiwi kushout hadharani yani upuuz puuz tu
 
Siku za mwanzo za utawala wa Obama aliwaambia live kama wanaleta nyodo na mafuta yao dunia itatafuta alternative source ya nishati au mafuta. Marekani kaanza kujichimbia yake, Norway, Russia, China, n.k. Gesi na mafuta vinaendelea kugunduliwa sehemu nyingine nyingi duniani - Tanzania na Msumbiji ni mifano ya hivi karibuni kwa upande wa gesi. Ya Uganda yataanza kumiminika miaka miwili ijayo kupitia Bandari ya Tanga hivyo soko la ukanda huu wa Mashariki na Kusini mwa Afrika litaachana na mafuta ghali kutoka Middle East.

Kama waliendekeza starehe wakaacha kutumia mapato ya mafuta kuwekeza kwenye brains za watu wao ili wazalishe bidhaa na huduma mbadala na badala yake wakawekeza kwenye dini yao ya taifa kwenye mataifa ya ng'ambo imekula kwao. Dunia imebadilika sana; hivi kwa mfano vile viwanda vya Uswisi vya kutengeneza saa ghali aina ya Oris enzi hizo siku hizi bado vipo? Maana hata hizo saa sijui kama zina soko tena siku hizi baada ya dunia kutawaliwa na digital.

Oris watakuwa walibadili bidhaa zao ili kuendana na mahitaji yanayobadilika kwa kasi ya ajabu kila uchao. Saudia waendelee kukandamiza wanawake na kuwaweka misukule ndani simply wana pesa za mafuta kuna siku watawatafutia wanaume overseas hayo mafuta yatakapokuwa priceless siku sio nyingi zijazo.
 
Siku za mwanzo za utawala wa Obama aliwaambia live kama wanaleta nyodo na mafuta yao dunia itatafuta alternative source ya nishati au mafuta. Marekani kaanza kujichimbia yake, Norway, Russia, China, n.k. Gesi na mafuta vinaendelea kugunduliwa sehemu nyingine nyingi duniani - Tanzania na Msumbiji ni mifano ya hivi karibuni kwa upande wa gesi. Ya Uganda yataanza kumiminika miaka miwili ijayo kupitia Bandari ya Tanga hivyo soko la ukanda huu wa Mashariki na Kusini mwa Afrika litaachana na mafuta ghali kutoka Middle East.

Kama waliendekeza starehe wakaacha kutumia mapato ya mafuta kuwekeza kwenye brains za watu wao ili wazalishe bidhaa na huduma mbadala na badala yake wakawekeza kwenye dini yao ya taifa kwenye mataifa ya ng'ambo imekula kwao. Dunia imebadilika sana; hivi kwa mfano vile viwanda vya Uswisi vya kutengeneza saa ghali aina ya Oris enzi hizo siku hizi bado vipo? Maana hata hizo saa sijui kama zina soko tena siku hizi baada ya dunia kutawaliwa na digital.

Oris watakuwa walibadili bidhaa zao ili kuendana na mahitaji yanayobadilika kwa kasi ya ajabu kila uchao. Saudia waendelee kukandamiza wanawake na kuwaweka misukule ndani simply wana pesa za mafuta kuna siku watawatafutia wanaume overseas hayo mafuta yatakapokuwa priceless siku sio nyingi zijazo.
kweli kabisa. kwa dunia ya leo mafuta hayawez tena kupanda bei coz yapo mengi sana sokoni na wateja wakubwa wa mafuta china, India na nchi za ulaya wanawekeza sana katika solar energy. soon kila kitu kitatumia umeme ambao unzalishwa na jua. hawa saudia wafalme wao wamewekeza sana nchi za ulaya, wanajua siku mafuta yakiisha tu tunakimbia zetu ila raia wa kawaida watateseka sana maana wamezoea sana maisha ya kiboss,
 
Siku za mwanzo za utawala wa Obama aliwaambia live kama wanaleta nyodo na mafuta yao dunia itatafuta alternative source ya nishati au mafuta. Marekani kaanza kujichimbia yake, Norway, Russia, China, n.k. Gesi na mafuta vinaendelea kugunduliwa sehemu nyingine nyingi duniani - Tanzania na Msumbiji ni mifano ya hivi karibuni kwa upande wa gesi. Ya Uganda yataanza kumiminika miaka miwili ijayo kupitia Bandari ya Tanga hivyo soko la ukanda huu wa Mashariki na Kusini mwa Afrika litaachana na mafuta ghali kutoka Middle East.

Kama waliendekeza starehe wakaacha kutumia mapato ya mafuta kuwekeza kwenye brains za watu wao ili wazalishe bidhaa na huduma mbadala na badala yake wakawekeza kwenye dini yao ya taifa kwenye mataifa ya ng'ambo imekula kwao. Dunia imebadilika sana; hivi kwa mfano vile viwanda vya Uswisi vya kutengeneza saa ghali aina ya Oris enzi hizo siku hizi bado vipo? Maana hata hizo saa sijui kama zina soko tena siku hizi baada ya dunia kutawaliwa na digital.

Oris watakuwa walibadili bidhaa zao ili kuendana na mahitaji yanayobadilika kwa kasi ya ajabu kila uchao. Saudia waendelee kukandamiza wanawake na kuwaweka misukule ndani simply wana pesa za mafuta kuna siku watawatafutia wanaume overseas hayo mafuta yatakapokuwa priceless siku sio nyingi zijazo.

You're ignored
 
Saudi wana nyodo sana Mungu anawaadhibu.Ujue katika nchi zote za Khalij ni Saudi pekee wanasheria ya kuchinja watu.??Mwanamke saudi hathaminiwi kabisa mwanaume ndo kila kitu Saudi Arabia.Yani kuna vitu ukisikia unaweza kuhisi kama masihara lakin ni kwel
1.Mwanamke haruhusikii kula ice cream hadharani
2.Mwanamke haruhusiwi kukimbia hadharani hata uwe na haraka vip.
3.Mwanamke haruhusiwi kusalimiana hata na kaka yake wa damu hadharani kwa kushikana mikono au kugusana kwa style yoyote
4.Mwanamke haruhusiwi kudai talaka kama nchi zngne wanawake wanavyopewa kipaumbele.
5.Mwanamke harusiwi kushout hadharani yani upuuz puuz tu

I think 1999 umeletwa duniani, hujui ukisemacho!

you're ignored
 
Mbna umenicritize then anyway u know much better keep braging kwa sabb nimeeleza kitu ambacho nakijua fata utafiti kabla hujaandika sawa??
 
Back
Top Bottom