rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Rais Sata amesema ni ngumu kusafiri kwenda australia kuhudhuria mkutano wa commonwealth kwa sababu ya kazi nyingi
badala yake amemwomba makamu wa raisi Guy Scoot kwenda badala yake
sasa hapo ina maana Rais wetu hawezi kuwapa wengine nafasi wahudhurie mikutano?
kwani lazima ahudhurie mikutano yote anayo alikwa?kazi zake anamwachia nani?
hana mzigo na taifa?hizo starehe anazofata huko zitamsaidia nini?
kwani ni yeye peke yake mtanzania?
badala yake amemwomba makamu wa raisi Guy Scoot kwenda badala yake
sasa hapo ina maana Rais wetu hawezi kuwapa wengine nafasi wahudhurie mikutano?
kwani lazima ahudhurie mikutano yote anayo alikwa?kazi zake anamwachia nani?
hana mzigo na taifa?hizo starehe anazofata huko zitamsaidia nini?
kwani ni yeye peke yake mtanzania?