Sasha Obama Sneaks Up On Her Dad Barack In Oval Office

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
734
1:35pm UK, Wednesday September 02, 2009
A White House photographer has captured a surprise visitor sneaking up on the US President in the Oval Office.



15373273.jpg

Sasha Obama in the Oval Office


Barack Obama was finishing some paperwork for the day, seemingly unaware his eight-year-old daughter Sasha was spying on him from behind a sofa.
The picture was taken by official White House photographer Pete Souza, whose brief is to document Mr Obama's presidency for the sake of history.
The image is reminiscent of a series of photos snapped in the 1960s showing JFK Jr playing under the Resolute desk while his father worked.


15373285.jpg

John Kennedy Jr in the Oval Office in 1963
 
1:35pm UK, Wednesday September 02, 2009
A White House photographer has captured a surprise visitor sneaking up on the US President in the Oval Office.



15373273.jpg

Sasha Obama in the Oval Office


Barack Obama was finishing some paperwork for the day, seemingly unaware his eight-year-old daughter Sasha was spying on him from behind a sofa.
The picture was taken by official White House photographer Pete Souza, whose brief is to document Mr Obama's presidency for the sake of history.
The image is reminiscent of a series of photos snapped in the 1960s showing JFK Jr playing under the Resolute desk while his father worked.


15373285.jpg

John Kennedy Jr in the Oval Office in 1963

This is great!!! It symbolizes the family bond!!! Such nice to have your kids close to you, even joking, making laughter, all childish games!!! Inapendeza.
 
Inapendeza sana, hii ni family ambayo iko close sana. inafaa kuitwa first family. sio mababa wengine watoto wakikuona mbio kujificha
 
Inapendeza sana, hii ni family ambayo iko close sana. inafaa kuitwa first family. sio mababa wengine watoto wakikuona mbio kujificha

Hapana. Katoto hako kanavunja protokali na mipaka ya kazi. Wamekamezea tu based on fact kwamba ni katoto hakajui kalitendalo.
 
Hapana. Katoto hako kanavunja protokali na mipaka ya kazi. Wamekamezea tu based on fact kwamba ni katoto hakajui kalitendalo.

Ndugu wanitisha yaelekea wewe ni walewale ukirudi home tu watoto wanakimbia kisa baba karudi.... badilika ndugu kucheza na kuwa karibu na wnao ni vizur ten ukiangalia kipindi hiki cha dot.com ni vyema ukawa rafiki mkubwa wa watoto wako na ikipidi kam wafanya kazi hadi jmosi siku ukijua huna kazi nyingi wapeleke wanao kazini kwako nao wakashinde huko.
 
Ndugu wanitisha yaelekea wewe ni walewale ukirudi home tu watoto wanakimbia kisa baba karudi.... badilika ndugu kucheza na kuwa karibu na wnao ni vizur ten ukiangalia kipindi hiki cha dot.com ni vyema ukawa rafiki mkubwa wa watoto wako na ikipidi kam wafanya kazi hadi jmosi siku ukijua huna kazi nyingi wapeleke wanao kazini kwako nao wakashinde huko.

Hoja yangu haipo based on a person but on a system. Learn from there please.
 
This is a pure political stunt. i love Obama lakini huyo photo snapper alikuwa anafanya nini? Mtoto kaingia ki-silencer bila kufungua mlango?
 
This is a pure political stunt. i love Obama lakini huyo photo snapper alikuwa anafanya nini? Mtoto kaingia ki-silencer bila kufungua mlango?

Yeah stunt tu hiyo na hamna lolote. Na inashangaza mjijitu mizima kuweweseka kwa kuona picha hiyo.
 
Mfanyakazi wa kawaida akienda na katoto kake ofisini kakapita pita chini ya viti watakafukuza na mzazi wake.

Next thing analeta ki intern kufanya kazi ya kupuliza, tutaaza mashitaka ya bunge... ulifanya hukufanya nyiingi
 
Back
Top Bottom