Nasoma gazeti la Raia Mwema, nashangaa kuwa linatuhumu watu bila kuwataja majina, kama halina ubavu wa kutaja majina si likae kimya, uandishi wa kiijumaa kwenye gazeti la siasa sio sahihi!ukiamua kupambana na dume la ngombe lishike pembe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.