Samweli Sitta - Kweli Bunge lako lilikuwa na VIWANGO vya kimataifa

FUSO

JF-Expert Member
Nov 19, 2010
31,636
37,850
Najaribu kuangalia Bunge letu linavyoendeshwa naona kabisa kuna udhaifu mkuu na wote mtakubaliana na mimi. Kwa sasa nimehakikisha maneno ya Samweli Sitta kwamba Bunge lake aliloongoza litabakia kwenye records.

Na tungeweza kusonga mbele kama mweshimiwa huyu angepewa nafasi tena kuliongoza bunge hili, wote mnajua kilichotokea ndani ya chama chao wakati wa mchakato kumpata msemaji mkuu yaani spika.

Matokeo yake ndiyo haya -- kwa mfano mwongozaji wa bunge anapofikia hatua ya kumwambia mbunge "wewe unawashwawashwa nini? " au anasema "mbona wewe ubunge unapenda kupata umaarufu" n.k

Bunge na namna hii ni JANGA jilingine la taifa - (Usiniulize tuna majanga mapapi ya kitaifa tafadhali) Samweli Sitta waliokufanyia fitna waadhibiwe (Walaaniwe) na mwenyezi mungu hapa duniani na mbinguni kwani hawakuwa na nia njema kwa maendeleo ya taifa letu. sasa ndiyo tunaona HOJA zikiwekwa kando na MIPASHO ndiyo inatawala.


Watanzania tunaikumbuka kazi yako nzuri.
 
Hakika tunakukumbuka kwa busara zako za kuliongoza bunge japo ulikuwa kweye chama kile kinacholiangamiza taifa letu.Leo tunashuhudia kiti cha spika kikiwa kimepwaya sana.Heshima kwako mzee wetu Samweli Sita
 
Namani ccm warudie kosa tena ,natamani pia 2015 wachague mgombea kwa usawa wa kijinsia iwe zamu ya mwanamke pasipo kuangalia sifa na uwezo wa mtu binafsi ktk kuongoza,
 
Hakika tunakukumbuka kwa busara zako za kuliongoza bunge japo ulikuwa kweye chama kile kinacholiangamiza taifa letu.Leo tunashuhudia kiti cha spika kikiwa kimepwaya sana.Heshima kwako mzee wetu Samweli Sita
Yaani kama huyu mzee angekuwa bado kwenye kiti kile, mpaka sasa kuna wengine wangekuwa wameshajiuzuru, kama si 'kuuzurishwa' (tehe eteheee).....
 
Hii ndio tatizo bunge kuongozwa na wanawake, hasira za kuungua moto jikoni unazileta bungeni, hongera Lisu ni bora kufa umesimama kuliko kufa umepiga magoti
 
Hakika tunakukumbuka kwa busara zako za kuliongoza bunge japo ulikuwa kweye chama kile kinacholiangamiza taifa letu.Leo tunashuhudia kiti cha spika kikiwa kimepwaya sana.Heshima kwako mzee wetu Samweli Sita

Yule aliyetumia kiti chake vibaya na kufanikiwa kumtoa mwenzake kwenye uwaziri mkuu?

Hakika tutamkumbuka kwa fitna zake.
 
Hii ndio tatizo bunge kuongozwa na wanawake, hasira za kuungua moto jikoni unazileta bungeni, hongera Lisu ni bora kufa umesimama kuliko kufa umepiga magoti

Ndugai nae alikua na hasira za moto? Alipokerwa na kuongea sana kwa Mh. Lissu?
 
Peter Serukamba kachukuliwa hatua gani?

5217410.jpg
 
Yule aliyetumia kiti chake vibaya na kufanikiwa kumtoa mwenzake kwenye uwaziri mkuu?

Hakika tutamkumbuka kwa fitna zake.

sikujua kwamba sitta alimtoa madarakani mtu na wala hakuwahi kuwa na mamlaka hayo,alichofanya ni kufanyia kazi shutuma ambazo baadae tume ya mwakyembe ilibaini kuwa za ukweli,tatizo langu kwa sitta na mwakyembe ni kuwasilisha ripoti nusu bungeni na nyingine wakaificha mpaka leo.
 
Bunge la Mh Sita lilikuwa bunge la kasi&viwango, while la mama makinda ni upolepole&kushusha viwango. Bunge la Sita ilikuwa kusimamia shughuli za serikal nakutoa ushauri. Ila bunge la mama ni bunge lakuwasimamia wabunge wapitishe kile serikali wanataka na pia wabunge wasikilize ushaur wa serikal nasio kuleta vidomo domo. Pia bunge la Sita ilikuwa hakuna kumlinda waziri,bunge la sasa kumlinda waziri kaz yakwanza, bunge la Mh Sitta michango yote inasikilizwa,bunge la sasa michango ya ccm ndio ina maana vyama vingine wao ni magaid. Tafadhal toa maon yako.... Send via nokia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom