Samwel Sitta: Wa kuogopwa urais 2015 ni Dr. Slaa tu

Viongozi wachache maana yake nini? Kwani miaka sita au saba iliyopita Obama alijulikana? Viongozi wapo wengi ndani ya jamii yetu, lakini hatutaki wapiga debe,isifananishwe wapiga debe / kelele eti waitwe viongozi. Kwanza wametuongoza nini? ufisadi? Dhuluma? wizi? elimi duni?,Infrastructure mbovu? Hao ndio viongozi wa Six? Aache zake. Freeman was a leader and is still a leader. His interest in music and others like us, and owning a discoteque doesn't deter his ego.
 
wadau wa jf,
cdm ikiingia madarakani haitafukuza watu kazi na kuleta watu wapya. tutawatumia hawa hawa waliopo lkn wakitekeleza sera ya cdm ambayo ni kutoentertain UDHAIFU.
as soon as lubuva akishamtangaza DR kuwa rais, watumishi wote kuanzia majeshi yote automaticaly wanakuwa wanatekeleza ilani ya cdm. kuna vijana kibao wanapiga jaramb. kuchukua majimbo kwa hiyo hiyo hio co ishu.
 
Chadema ina watu wengi sana wa kuongoza ila bado hawajapata nafasi hiyo.hata hawa wanao onekana kuwa wanafaa wasingipewa nafasi walizonazo uwezo wao usingeonekana.
 
Lakini ni ukweli uliowazi kabisa kuwa,CDM bado ni chama chenye viongozi wachache sana wenye uwezo mkubwa.Mathalani chukulia kwa mfano leo hii ukiwatoa Doctor,Tundu Lissu,Mbowe,Mnyika na zitto chadema itakuwa na uhai?.Tuacheni ushabiki yatupasa wananchi kukubaliana na Sitta

Angalia orodha hii hapa ya wanachama na wapenzi wa Chadema
  • Mabele Marando
  • Wenje
  • Mchungaji Msigwa
  • 80% ya watu wote wenye umri chini ya miaka 60 na zaidi ya miaka 18

Hapo ujapata viongozi wa kuongoza nchi zaidi ya mafisadi akina Sitta
 
Chadema ina watu wengi sana wa kuongoza ila bado hawajapata nafasi hiyo.hata hawa wanao onekana kuwa wanafaa wasingipewa nafasi walizonazo uwezo wao usingeonekana.
 
Kauli kama hizi zinahitaji hekima ku-deal nazo na si vyema CHADEMA kutaharuki na kutoa majibu yasiyo na tafakuri.

Nyuma ya kauli hii kuna ujumbe mzito Sitta anataka wenye uelewa mpana waupate. Hivyo kumjibu bila kujua amelenga kufikisha ujumbe fulani kwa wana CCM na watanzania .kwa mtazamo wangu ni kuwa kwa upande mmoja, mh sita anajaribu kupenyeza hisia zake kwa wana ccm na watanzania kwa ujumla kuwa kuna mtu makini nje ya CCM na anaweza kuaminiwa kuliongoza taifa.

Na hili linafanyika kwa makusudi ili kuwaelekeza watu kumtambua kiongozi afaaye katika kuliongoza taifa na kuwaondolea sifa wanachama wengine ndani ya CHADEMA. Hii ni kuwaandaa watanzania kisaikologia kupokea mabadiliko ya uongozi mkubwa wa nchi lakini ukiwa hauna wasaidizi wa kutosha.

Na upande mwingine hii inaweza kuwa mbinu ya ccm kutaka kuona ni watu wangapi ndani a CHADEMA wana ndoto na urais mwaka 2015. Baada ya kuwajua maadui wao wajipange kuwakabili kabla ya 2015. Hii itawasadia wao kama chama kutambua namna ya kuwasambaratisha kwa hupenyeza mivutano ndani ya CHADEMA kwa kujaribu kuwadhihaki watu fulani na kuwakweza wengine ili kuleta mpasuko ndani ya chama.

"Hii ni janja ya nyani YA SITTA"
 
Mjanja yule, anamfagilia DR. Slaa ili M4C isipite jimboni kwake urambo, tunakuja katusubiri.
 
Nikusaidie kidogo, unakuwa na viongozi wengi unapowahitaji viongozi wengi. Hao uliwataja ni viongozi wa juu wa chama cha CDM, sasa ulitaka kuwepo na viongozi wengi kwaajili ya kufanya nini?

Siamini kama maneno hayo ya kuwa CDM haina viongozi wengi yalitoka kwa Mh. Sitta maana yeye nilikuwa naamini ni kati ya watanzania wan CCM wenye upeo wa kutosha, angalao kwa kiwango fulani. Sitta anatakiwa kujua kuwa CDM ni chama kiongozi na wananchi ndiyo watakaoiongoza nchi yao kwa nafasi watakazopewa. Kama Rais atakuwa DR. Slaa, wala hataweza kuzuiwa kumchagua mtanzania yeyote mwenye uwezo kuongoza na kutenda katika nafasi zozote za kiutawala na kiutendaji. Na Tanzania mpya wanayoitaka Watanzania ni yenye fikra mpya, mtazamo mpya. mbinu mpya, jitihada mpya na uzalendo wa kuaminika. Hatutataka majina maarufu yaliyozoeleka katika uongozi wa Tanzania maana majina hayo ndiyo yenye uzoefu wa wizi, ubadhirifu, ufisadi, udini wa fikra na uduni wa ubunifu.

Kuna kundi kubwa la Watanzania wenye uzalendo, uwezo na dhamira ya kuibadilisha Tanzania lakini hawapewi nafasi kwa vile 'wevi' wapo madarakani na daima wanataka kuishi na 'wevi' wenzao.


Lakini ni ukweli uliowazi kabisa kuwa,CDM bado ni chama chenye viongozi wachache sana wenye uwezo mkubwa.Mathalani chukulia kwa mfano leo hii ukiwatoa Doctor,Tundu Lissu,Mbowe,Mnyika na zitto chadema itakuwa na uhai?.Tuacheni ushabiki yatupasa wananchi kukubaliana na Sitta
 
Chadema ina watu wengi sana wa kuongoza ila bado hawajapata nafasi hiyo.hata hawa wanao onekana kuwa wanafaa wasingipewa nafasi walizonazo uwezo wao usingeonekana.
 
Lakini ni ukweli uliowazi kabisa kuwa,CDM bado ni chama chenye viongozi wachache sana wenye uwezo mkubwa.Mathalani chukulia kwa mfano leo hii ukiwatoa Doctor,Tundu Lissu,Mbowe,Mnyika na zitto chadema itakuwa na uhai?.Tuacheni ushabiki yatupasa wananchi kukubaliana na Sitta

Tatizo lako unajua kuwa viongozi wa chadema wanao weza kuunda serikali ni walioko kwenye siasa tu! Kuna kundi kubwa la wana taaluma mbalimbali nyuma ya chadema ndio maana hapo hujamtaja Dr Mkumbo, Pro Safari, na wengine wengi ambao wako kimya kwa sasa!
 
Lakini ni ukweli uliowazi kabisa kuwa,CDM bado ni chama chenye viongozi wachache sana wenye uwezo mkubwa.Mathalani chukulia kwa mfano leo hii ukiwatoa Doctor,Tundu Lissu,Mbowe,Mnyika na zitto chadema itakuwa na uhai?.Tuacheni ushabiki yatupasa wananchi kukubaliana na Sitta

Kwani Mnyika ulimjua lini kama si wakati alipochaguliwa ubunge? Hata hao waliopo CCM umewajua baada ya kuwa viongozi, au uliwajulia wapi?
 
Hata Nyerere wakati anakabidhiwa nchi,Nch haikuwa na wasomi wengi, nchi ilikuwa pia na uchumi duni.Licha ya kasoro hizo Serikali yake ilipata viongozi na ilitoa mchango mkubwa sana ktk utawala wake. Kama CCM inahazina kubwa ya viongozi mbona bado nchi yetu ipo kwenye lindi kubwa la umasikini, ufisadi na rushwa?

Nijuavyo mimi hakunaga chuo kikuu cha kusomea uwaziri wala uraisi. na hata ukiangalia ushahidi wa uchache wa wabunge wa chadema bado wameweza kulitingisha bunge na serikali ya CCM. Uzalendo wa kweli na uadilifu wa viongozi ndio kitu cha muhimu kwa viongozi wetu na sio uzoefu mkubwa wa utawala wa kuiba rasilimali za nchi kw a experience zao na elimu zao.

TZ bado ina rasilimali kubwa ya viongozi wakimya wenye uwezo na ambao bado hawajajisukuma kwa uwazi kwenye utashi wa siasa za vyama.
 
Back
Top Bottom