TZ biashara
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 523
- 107
Nauza Samsung Digital Camera model PL121 ambayo ipo karibu na upya kwasababu imetumika mara 2 tu kutokea upya wake.Haina tatizo lolote na inakuja na box yake pamoja na vifaa vyake vinavotakiwa kuambatana nayo.Camera hii ni nzuri sana na ina screen sehemu ya mbele pamoja na nyuma kwa hivo ni nzuri kutumia kama kwa kuseti pale unapotaka kujipiga picha kama huna mtu wakukupiga na ni rahisi kuiseti ili kupata picha nzuri.Bei yake ni Tshs 160,000 na ipo Bongo imefika kutokea Uingereza.Kwa mawasiliano zaidi mpigie simu Habibu 0717810318.