Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,515
- 52,168
Kwema wakuu!
Mtanisamehe kwa wale wapenzi wa Mchezaji wa Mpira aitwaye Samatta. Lakini kiukweli tangu nimjue Samatta hasa akiwa ndani ya timu yetu ya taifa sijawahi kuona miujiza na ukubwa Wake.
Ukisikia matangazo ya kwenye Luninga na Redioni kumhusu Samatta amejengwa kwa namna ya mtu fulani mkubwa sana, mwenye mambo ya ajabu uwanjani lakini ukifika uwanjani ukatazama kile anachokifanya hakiendani na sifa anazopewa.
Ndugu yangu Samatta tunakuomba urudishe kile Watu wanachokuonà na wanachokusifia nacho.
Au je ni macho yangu tu?
Au je nimekuwa na chuki mpaka sioni uwezo wa Samatta uwanjani?
Au ni kweli hata ninyi mwaona kile nionacho?
Nawatakia jioni njema
Mtanisamehe kwa wale wapenzi wa Mchezaji wa Mpira aitwaye Samatta. Lakini kiukweli tangu nimjue Samatta hasa akiwa ndani ya timu yetu ya taifa sijawahi kuona miujiza na ukubwa Wake.
Ukisikia matangazo ya kwenye Luninga na Redioni kumhusu Samatta amejengwa kwa namna ya mtu fulani mkubwa sana, mwenye mambo ya ajabu uwanjani lakini ukifika uwanjani ukatazama kile anachokifanya hakiendani na sifa anazopewa.
Ndugu yangu Samatta tunakuomba urudishe kile Watu wanachokuonà na wanachokusifia nacho.
Au je ni macho yangu tu?
Au je nimekuwa na chuki mpaka sioni uwezo wa Samatta uwanjani?
Au ni kweli hata ninyi mwaona kile nionacho?
Nawatakia jioni njema